We kama mume anakuhudumia vizuri na watoto shukuru Mungu hayo ya michepuko usiyawazie ,wanaume wana siri sana na ningumu sana kuwagundua .mwanaume anaweza kumpenda mchepuko kuliko wewe ulioko ndani na akamfanyia maendeleo makubwa tu ,tena usiombe awe na mchepuko unaojua kula na kipofu .
Duh!.yamemkuta tena Gwajima. Aliwahi pigwa vibao na jamaa mmoja kwenye saloon moja hivi .kisa Gwajima alimla mwanamke wa huyo jamaa , Kuweni makini na Gwajima ni mchafu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.