Mosi, mzaha unaanzia kwenye upatikanaji wa kura mil 31+ uliopelekea ushindi wa 97.7%. Pili, mbali na uharibifu mbalimbali kutokea ni kwa nini uharibifu wa vituo vya kupigia kura hujausikia popote? Huo ni mzaha wa pili, jibu ni rahisi; wakiutaja huo, uhalali wa 31+->97.7% unakuwa na ????. Hivyo...
Kama mawazo yako ndiyo haya basi kazi ipo. Kuongelea mambo ya mauaji ya raja kwa silaha zamoto, kuongelea utekaji n.k tafsiri yake ndiyo kutugawa kidini?
Kwamba uchaguzi ulikuww huru na haki. Siku ya kupiga kura kulikuwa na maandamano na baadhi ya vituo na kura kuchomwa moto yet ushindi umekuwa wakishindo... Naxlchokaa mini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.