Recent content by MAMDALI

  1. M

    JamiiForums Tanzania The US bill mandates an assessment of Tanzania's military, economic and political cooperation with China

    Tunasubiri buscket fund tuendelee na shughuli za afya
  2. M

    JamiiForums Tanzania Warioba: Kuna wakati niliambiwa nisitumie simu yangu mpaka watakaponiambia

    Kama vile ambavyo na wewe hunabudi upuuzwe
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mwaka wa sita mwanangu haongei. Roho inaniuma sana. Why me?

    Autism spectrum disorder(ASD)
  4. M

    JamiiForums Tanzania Makonda aonya Wanasiasa wanaolenga Urais 2030, aahidi kuwashughulikia wanaomsaliti Rais Samia

    Hivi anavyosema hatomsaliti Rais SSH inamaanisha Mama atataka kugombea tena 2030?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kwa kauli hii ya Padre Kitima nimeamini kuwa kweli Kanisa Katoliki ni sikio la kufa

    Kama upo jikoni unakula keki ya taifa ni vizuri kuilinda. Ila kila mtu ana mitizamo yake hivyo ni vizuri tuvumiliane
  6. M

    JamiiForums Tanzania Yu wapi Naibu Waziri Mkuu Mstaafu, Dkt. Biteko?

    Yupo jimboni huku jana tulikuwa naye kwenye sherehe
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kuanzia Kesho tarehe 10 GENTAMYCINE najitolea kuwa Chief Strategist wa Maandamano ya Kistaarabu nchini ambayo hata Rais Samia atayapenda na kuyabariki

    Changamoto yako moja ni kuwa na 'Ego', nadhani hii hali hata wewe unajua. Jitahidi uwe na utulivu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Inawezekana baadhi ya Wananchi wamekuwa wakifanya mzaha na mamlaka ya rais wa Tanzania Dkt Samia Suluhu, wanapodhibitiwa wanaanzisha malalamiko

    Mosi, mzaha unaanzia kwenye upatikanaji wa kura mil 31+ uliopelekea ushindi wa 97.7%. Pili, mbali na uharibifu mbalimbali kutokea ni kwa nini uharibifu wa vituo vya kupigia kura hujausikia popote? Huo ni mzaha wa pili, jibu ni rahisi; wakiutaja huo, uhalali wa 31+->97.7% unakuwa na ????. Hivyo...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kamalizwa na nduguye

    Kulilia au kupigania uhai wa watu kupotezwa kupitia kutekwa and the like ndiyo siasa?
  10. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu: Kitima, huu muziki wa Waislamu huuwezi, DAMU ITAMWAGIKA! Tunayo mengi ila tumekaa kimya kuhusu Wakristo

    Kama mawazo yako ndiyo haya basi kazi ipo. Kuongelea mambo ya mauaji ya raja kwa silaha zamoto, kuongelea utekaji n.k tafsiri yake ndiyo kutugawa kidini?
  11. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Hakuna dini ya ku-override serikali, toka niingie madarakani TEC wametoa nyaraka 8

    Kwa hiyo wakiona kuna utekaji wakae kimnya kwa sababu urais ni taasisi?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Itachukua miongo mingi sana kuipata tena hotuba hii iliyotolewa na Rais Samia Suluhu Hassan

    Kwamba uchaguzi ulikuww huru na haki. Siku ya kupiga kura kulikuwa na maandamano na baadhi ya vituo na kura kuchomwa moto yet ushindi umekuwa wakishindo... Naxlchokaa mini
  13. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Jaji Chande ataja mambo 6 yanayoenda kuchunguzwa na Tume ya uchunguzi

    Hakuna cha maana kwenye hii time. Ni kupotezeana muda tu
Back
Top Bottom