Recent content by mamD

  1. M

    mtoto kugoma kula

    milo sita ina maana kuwa saa 12asubuhi maziwa fresh, saa 2 chakula, saa 5 maziwa fresh, saa 8mchana chakula, saa 10 uji, anakaa free akinywa juice au tunda mpaka saa 2usiku chakula.
  2. M

    mtoto kugoma kula

    habari zenu wadau, nina mtoto wa mwaka mmoja na miezi saba lakini ni mbishi wa kula chochote, ana ratiba ya milo sita kwa siku lakini sijawahi kumuona akila kwa raha ni kilio tu nifanyeje? Uzito wake hauridhishi ana 11kgs sasa hivi. Natanguliza shukran kwa msaada!
  3. M

    Aunty Ezekiel: Nataka niwakomeshe wabaya wangu

    huyu naye limbukeni kweli, kubeba abebe yeye kukoma wakome wengine, huyu kabaki tu kuugua ukichaa wa kuvua nguo barabarani apelekwe milembe
  4. M

    Ulikuwa na sifa gani chuoni/shuleni?

    namba 3, 7 na 20.
  5. M

    Umri sahihi wa mtoto kuota meno

    mtoto wangu alianza kuota meno akiwa na mwaka i was worried nikaambiwa ni kawaida wengine wanawahi kwanzia miezi mitatu ya mwanzo, kama mwanao ana miez 2na nusu sidhan kama kuna tatizo, ila jaribu kuonana na dentist wa watoto kwa ushauri zaidi.
  6. M

    Baada ya TBC kupewa gari, startimes wametoa chaneli zote za bure mpaka ulipie inayoonekana ni TBC 1

    mi nilijua ni sisi tu ndo wametukatia kwa sababu hatujakilipia muda mrefu kumbe na wengine pia. Toka juzi wamekata huduma.
  7. M

    Mwanafamilia mwenzenu anaumwa

    pole sana, Mungu akutie nguvu.
  8. M

    Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    mkuu Rakims, mimi sijielewi ni kitu gan au ni nguvv gan ninayo, kwa mfano kama nataka kufanya jambo au nahc kuna kitu kitanitokea nikishamweleza mtu hlo jambo au kitu nachotaka kufanya hakitokei mfano nipo kwenye mihangaiko ya kutafuta kazi naitwa mpaka kwenye interview ila nikishamweleza mtu...
Back
Top Bottom