Recent content by mambucha

  1. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Dah!! Weekend hii nimemkosakosa Mhindi....😒
  2. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wiki hii...jana almanusra...!!??
  3. M

    Serikali kulipa mabilioni mengine kwenye kesi ya kubumba. Nani ni wanufaika wa huu ufisadi wa kalamu?

    Wewe si ndio ulikuwa mpiga mapambio awamu ya tano!!!???
  4. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Dah, nilikuwa natest mitambo...msimu mpya....
  5. M

    Nahitaji kuagiza viatu Uturuki

    Kuna page Instagram nimekuwa nikivutiwa na viatu vyao lakini nikitaka kutoa order wanasema wanauza jumla na sio rejareja. Mwenye uelewa anisaidie jinsi naweza kununua pairs chache kwa ajili ya matumizi binafsi siyo biashara. Ahsante.
  6. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nakosea wapi hapa wadau...bet nne mfululizo nimekosa mechi moja...!!?
  7. M

    Winshear Gold Corp vs Tanzania

    Hii ni hearing ya arbitration.. Kuna part zingine ziko youtube katika page yao.... Naona wanasheria wetu wanapambana....
  8. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Timu za Italy ....[emoji113]️[emoji113]️
  9. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Baada ya jana siku kwenda vizuri...ni asubuhi nyingine imeanza vizuri..
  10. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Chukua hii XEAl3D sportpesa
  11. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hawa levante hata pamoja na jamaa kupewa red card wanashindwa kufunga....dah!!!?
  12. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi hawa jamaa wa sportpesa wanatuzingua yaani jackpot ya 13 , matokeo droo 9 kati ya mechi 13 na kuna washindi wa mechi 12, 11 na 10!!?
  13. M

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Dah!! ilikuwa weekend ianze vyema....!!?
Back
Top Bottom