Wadau naomba mwenye kufahamu wanapouza sukari Kali ya unga ya kutengenezea juice anifahamishe kwani Ninashida nayo.
Sukari hiyo hutumika kutengenezea soda coca cola, pia naomba msaaada kwa mwenye kufahamu wanapouza Rangi ya ukwaju.
Hii wilaya ni moja ya wilaya korofi sana ina mambo ya ajabu ajabu sana na mimi niliwahi kupewa ukuu wa shule nikaangalia mazingira nikaona isiwe nongwa nikauacha yaani mazingira ya upigaji mengi sana katika hii wilaya kutokana miundo mbinu yake kuwa korofi sana kwanza wskaguzi huwa wanatembelea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.