Nyumba zote ulizotuonyesha hapo hazipo katika uhalisia wa maisha ya Mtanzania. Binafsi niliweka uzio kwa ajili ya usalama maana palivyokuwa wazi matukio yalikuwa mengi. Pia kuepusha fitna za Watawahoji, maana wengine hawachelewi kufanya kigodoro uwanjani kwako na hawakuombi ruhusa
Mimi sijakuelewa. Yaani mtu yuko kwenye ndoa kabisa haina shida akataka kukaa kwa wazazi wake?? Hiyo mpya. Labda kama wametengana. Hapo lazima kila mtu atatafuta pa kukimbilia
Mkeo anaboaje ilhali amekuletea zawadi mliyoitafuta kwa furaha? Isitoshe, mwanzoni ni ngumu kutokunuka shombo ya maziwa maana pale yanatoka mengi bila mpangilio
Utaniwia radhi kwa kusema hivi, mama yako hatapata majibu ya maombi yake. Hayupo Mungu huyo wa kumsaidia. Kiuhalisia maombi hutupa matumaini, na hutusaidia sisi kumtupia mtu mwingine (Mungu) mzigo wa majukumu yetu. Yaani, tunakimbia kuwajibika. Mfano mzuri ni huo WA mzazi wako. Anateswa na...
Kaka
Binafsi sikubaliani nawe katika hilo. The very essence of God ni kwamba ni Mungu wa upendo, awezaye yote, amilikie vyote. Sasa, ameniumba mimi mwanadamu mdhaifu, iweje tena leo hii miaka yote ananitazama tu? Au hanipendi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.