Recent content by mamayoyo1

  1. mamayoyo1

    GE2020 Geofrey Timoth mtia nia Ubunge Jimbo la Kawe

    tuko pamoja kaka ntakuunga mkono
  2. mamayoyo1

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB) yatoa tamko la kumpongeza Rais Magufuli

    TAMKO LA THBUB KUMPONGEZA RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHESHIMIWA DKT. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI KWA HOTUBA YA KULIFUNGA BUNGE LA 11 ALIYOITOA KATIKA UKUMBI WA BUNGE, DODOMA TAREHE 16 JUNI, 2020 Tarehe 16 Juni 2020, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa Hotuba ya Kufunga...
  3. mamayoyo1

    Wakulima Wilaya ya Ikungi wampongeza Rais Magufuli kwa mfumo wa stakabadhi ghalani

    Wakulima Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, wamempongeza Rais Dkt. John Magufuli kwa kuelekeza ununuzi wa mazao yao kwa mfumo wa stakabadhi ghalani. Pongezi hizo walizitoa mwishoni mwa wiki wakati wa ulipwaji wa fedha zao baada ya kuuza choroko kwa njia ya stakabadhi ghalani katika Kata ya...
  4. mamayoyo1

    Ufaransa yaipatia Serikali mkopo nafuu kujenga mradi wa maji mjini Morogoro

    Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo la Ufaransa (AFD) zimetiliana saini mkataba wa mkopo wenye masharti nafuu wa Euro milioni 70, sawa na takriban shilingi za Tanzania bilioni 175.6 kwa ajili ya kugharamia Mradi wa Maji Safi na Usafi wa Mazigira Mjini Morogoro (MORUWASA). Mkataba wa...
  5. mamayoyo1

    Njombe: Maafisa tarafa wapokea Pikipiki za Magufuli

    Changamoto ya usafiri ili kuwafikia wananchi katika vijiji mbalimbali kwa maofisa tarafa mkoani Njombe sasa imepatiwa ufumbuzi baada ya serikali kugawa Pikipiki kwa kila ofisa hatua itakayochochea uhamasishaji shughuli za maendeleo. Wakizungumza mara baada ya kukabidhiwa pikipiki na katibu...
  6. mamayoyo1

    Singida: Rais Magufuli awasihi Watanzania kuchapa kazi. Corona haikuanzia Afrika na imewakoromea wote hata wale wenye uwezo

    “Ndugu zangu wa Singida, tuna tatizo la corona, nikawaomba Watanzania tuombe, napenda kuwathibitishia Mungu ametusikia na janga hili limepungua sana pamoja na kwamba bado halijaisha, tuchukue hatua, hapa Singida wamebaki wagonjwa watatu wanaendelea vizuri”-JPM “Corona ipo lakini naamini itaisha...
  7. mamayoyo1

    Bodi ya Utalii Tanzania: Tupo tayari kuanza kupokea watalii

    BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imesema ipo tayari kuanza kupokea watalii wakati wowote kuanzia sasa kufuatia hatua ya Serikali kuruhusu kuendelea kwa shughuli za utalii nchini hatua iliyotokana na kupungua kwa kasi ya mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (CORONA) duniani. Hayo yamesemwa leo...
  8. mamayoyo1

    Tunduru: Madiwani 9 wa CUF wa kata 8 za Wilayani Tunduru Wajiuzulu na kujiunga CCM

    Madiwani 8 wa kata 8 za wilayani Tunduru pamona na kada maarufu KIOSA KIOSA wameachana na Chama Cha Wananchi CUF na kujiunga na CCM asubuhi hii. Madiwani hao wote 8 wamepokelewa na Mwenyekiti wa CCM wa Mkoa wa Ruvuma Oddo Mwisho na viongozi mbalimbali wa mkoa na wilaya. Mkuu wa Wilaya ya...
  9. mamayoyo1

    Serikali: Idadi ya Wagonjwa wa COVID19 kwenye baadhi ya vituo yapungua

    Katibu Mkuu Wizara ya Afya, Prof. Mabula Mchembe amesema idadi ya watu waliopata maambukizi ya Virusi vya Corona kwenye baadhi ya vituo vya matibabu imepungua na wengi wao wanaendelea vizuri. "Pale Amana kuna wagonjwa 12 na wengi wana hali nzuri, Mloganzila kuna wagonjwa 6 na kule...
  10. mamayoyo1

    Pato la Taifa lapanda kwa asilimia 7

    Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Philip Mpango amesema pato la taifa limekuwa kwa asilimia 7 kwa mwaka 2019 sawa na ilivyokuwa kwa mwaka 2018. Dkt. Mpango ameyasema hayo Bungeni mjini Dodoma wakati akiwasilisha makadirio ya bajeti kwa mwaka wa fedha 2020/2021 na kueleza sekta ambazo zinaongoza...
  11. mamayoyo1

    TRA Kagera yavuka malengo ya Serikali, yakusanya Billioni 16 kwa robo ya mwaka wa fedha 2019-2020

    Jumla ya shilingi Bilioni 16.18 zimekusanywa na mamlaka ya mapato Tanzania mkoani Kagera kwa upande wa kodi za forodha na kodi za ndani kwa kipindi cha kuanzia mwezi Januari-Machi 2020 sawa na 110.03% ikiwa lengo lilikuwa ni kukusanya shilingi bilion 14.7 Hayo yamebainishwa na Meneja wa T.R.A...
  12. mamayoyo1

    TAKUKURU Morogoro yaokoa mamilioni ya Fedha

    aasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Morogoro imetoa taarifa juu ya utendaji kazi kwa majumuisho ya miezi mitatu ambapo wameweza kuokoa zaidi ya shilingi Millioni hamsini zilizokuwa mikononi mwa viongozi wa vyama vya ushirika SACCOS katika wilaya za Mvomero na Gairo...
  13. mamayoyo1

    COVID-19: Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza ongezeko la Wagonjwa Wapya 196. Visa vyafikia 480

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ametoa rai kwa Watanzania, kuacha kutoa taarifa za uzushi za vifo kuwa kila kifo kinachotokea kinasababishwa na Virusi vya Corona. Hayo ameyabainisha leo Aprili, 29, 2020, wakati akitoa taarifa ya mwenendo wa maambukizi ya Virusi vya Corona hapa nchini, ambapo...
  14. mamayoyo1

    Bodi ya utalii yataja mikakati endelevu kuinua utalii katika mlipuko wa corona

    BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imeainisha mikakati 10 ya muda mrefu inayolenga kuinua soko la utalii nchini ambalo kwa sasa limeathirika na mlipuko wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu (CORONA) unaosababishwa na kirusi cha (COVID-19) na kuenea katika nchi mbalimbali duniani. Hayo yamesemwa leo...
Back
Top Bottom