Recent content by mamayeyoo

  1. mamayeyoo

    Njia rahisi ya kukatisha mahusiano

    😁😁😁😁😁😁😁
  2. mamayeyoo

    Natafuta rafiki wa kike

    Mimi ni binti wa miaka 22 natafuta rafiki wa kike, awe anajiheshimu, anamawazo ya maisha, sio muhuni wala mpenda starehe za ajabu, awe anapenda kusali na mwenye hofu na mungu, msiri msafi na mwenye malengi. Ni pm no yako nipo Dar es salam...
  3. mamayeyoo

    Mada maalum: Ushauri kulingana na matokeo yako ya kidato cha nne(2014)

    Unaenda vizuri...tena kwa HGL, HKL Imekaa pouwaaa
  4. mamayeyoo

    Msaada wa kupata center bora ya ku-reseat jimbo la Ukonga

    Kuna centre moja ni nzuri sana...mi nimesomea hapo, nimefaulu. bei pia ni rahisi sana. Iko buguruni inaitwa Hekima Upland acedemy
  5. mamayeyoo

    Naombeni msaada kuhusu mitihani ya private candidate

    Ila kuanzia mwaka jana kinataofauti na miaka mingine, kama anarisit masomo saba atafanya mitihani 14., kwa maana paper 1 na2.. Ni pagumu awe tu seriousy if he ia not serious kufeli njenje
  6. mamayeyoo

    Nisaidieni Mawazo

    Mimi nilisoma qt kisha nikajiunga pc nikafaulu kwa marks zifuatazo.(2014) eng-B lite-C Geo-C kisw-C Bios-D civ-D hist-D Math-F nataka kusoma advance ya mwaka mmoja 5&6 HGL kuna madhara yoyote? Zipi faida zake?
  7. mamayeyoo

    Usahihishaji wa Somo la History, nashindwa kuelewa

    Samahan hapo kwenye PPEC ni kweny mainbody pia?
  8. mamayeyoo

    Amemdanganya mchumba wake anafanya kazi dukani kumbe ni changudoa

    Wewe jaribu kumuonyeshea laivu....mpeleke hapo baar anapofanya kazi huyo manzi na hiyo time ya kuondoka na jamaa zake aone pia. Bila kumsahau huyo mshkaji mwenye UKIMWI
  9. mamayeyoo

    Kuchukuliwa mke inauma

    Hahahaha.....nimecheka kinomaaaaa
  10. mamayeyoo

    Hivi ni kweli wanawake ving'ang'anizi ndio wanaoolewa?

    Atakuwa anasaidiwa kitu huyo...ila kwa mapenzi sidhani khaaaaaaaaa. Walaaaa jaman
  11. mamayeyoo

    Tulioacha na kuachwa tukutane hapa kwa ushauri

    😒😋😋😋😋😋
  12. mamayeyoo

    Binti ajinyonga, Kisa kutoelewana na kugombana na mpenzi wake

    Sio mimi nife yeye abaki.....noooooooo
  13. mamayeyoo

    Unaweza kutumia mswaki wa mpenzi wako?

    Hapana uwiiiiiii.....
Back
Top Bottom