Unakatwa hela isiyo na mafao huku watu hawatetewi
Unashangilia kuvaa t-shirt na kofia kwani hiyo hela wakiicha naweza kununua t-shirts ngapi kwa mwaka?!!
Ndio maana mimi sijaenda bora nipalilie bustani yangu
Kama tumerogwa vile kuna methali inasema "Ujinga wakati wa kwenda" lakini mbona wafanyakazi wajinga wakati wa kwenda na kurudi kama manyumbu.
Ndugu umenizimisha kwa muda ujuee
Sasa nifanyeje sitaki kuwa kwenye rat race mpaka miaka 60
Nani apaze sauti kwamba tunataka hela zetu tunapokuwa tumechoka kufanya nao kazi,maisha yamebadilika sio lazima nife nikiwa mtumishi aaghaaa!!!!
Yani natamani nikifikisha miaka 15 ya kuajiriwa niwaachie ofisi yao,niendelee na kazi zangu nyingine, hapa nalia je watanipa hela yangu nikitaka kujitoa kwa miaka hiyo ya utumishi?
Maandamano hayajashindikana,hukuona polisi wameandamana badala ya wananchi?
Yaani polisi nchi nzima wamejipa kibali cha maandamano wenyewe kuanzia 25/04/2018-26/04/2018
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.