Habari zenu waungwana! hivi karibuni nimepata wazo la kuanzisha jarida format kama yale ya BANG!, ONSPOT, VIBE, KITANGOMA . Ila idea yangu ni unique kidogo na nimefanya research nimeona kuna tija endapo nikijipanga vizuri, litahusisha michoro na narrations .Nahitaji ushauri wenu, Je nahitaji...