Hv single mothers wanatokana na uzembe wao au ni wanaume kukimbia majukumu?? Hv ingekuwa kila mwanaume anawajibika kwa matendo yake kungetokea na single mothers....yan kabisa kuna mwanaume na akili zake timamu kapachika mimba halafu kakimbia, mwingine ameona isiwe shida ngoja nilee mnamwona...
Mwanaume umeniona na pete yangu kidoleni bado unanitongoza....aisee kwanza naamini umeniona mm ni cheap yaani niponipo wakuchukuliwa muda wowote tu...hapo ndio tutakapoanzana vzr
umefanya jambo jema sana kumwambia mapema...ni uamuzi wake kusuka au kunyoa...ila nawe umetisha, una mahusiano ya miaka mitatu na mtoto wa miaka mitatu? yan ulianza kuchepuka mkiwa wachumba..je ukiwa kwenye ndoa?? ndio maana analia hakuelewielewi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.