ngoja aolewe il asiwe kahaba, watu mnaroho za kwanini,sasa wewe ulitaka akae ivovo bila kuwa na mwanaume kwani sister huyo,mie sio ushabiki wala nini ila nimesoma coment zako inaonekana wema anakuumiza sana,eti cheap,kwa kumlinganisha na nani?wema kamuacha huyo super star wetu kakutana na ivan...