Asante, ni maneno marahisi kusema but maneno magumu sana kutenda hasa kama ulipenda kweli,
But asante kwa ushauri na faraja hii
Sent using Jamii Forums mobile app
Napenda kuwapongeza sana wanawake wa nguvu walioamua kujitosa kulipia ada watoto wao huku baba zao wapo mjini wanazurura.
Niwaambie tu ninyi ni wanawake wa nguvu, endeleeni kuonesha upendo kwa hao watoto mana kuna siku mtakula matunda ya kazi ya watoto wenu.
Acheni hawa kina baba wachache...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.