Recent content by Mama_Jamal

  1. M

    Kauli ya Balozi Juma Mwapachu kuhusu Lowassa

    Na hapo ndipo Balozi Mwapachu unapokosea, ama kwa makusudi kabisa una-divert attention kutoka kwenye uovu wa kitendo chenyewe cha ufisadi. Ni ngumu kuamini mtu kama wewe, na uzoefu wako wa uongozi tukiwa tukisikia jina lako tangu tukiwa wadogo, eti hii leo unaweza tena bila aibu yoyote kuongea...
  2. M

    CHADEMA: Ipsos-Synovate Iwaombe Radhi Watanzania, Utafiti wao Upuuzwe, Utafiti wa TADIP una Kasoro

    Hiyo taarifa na uchambuzi uliotolewa hapo juu unaonyesha ni jinsi gani hao walioitayarisha, hawaielewi sayansi ya takwimu, ama hawakufanya jitihada za kupata ushauri, kabla ya kutoa maelezo yao, kutoka kwa wataalamu waliobobea na wanaoaminika katika takwimu. (A) Hilo la kufanana ukubwa wa...
  3. M

    Taswira ya TWAWEZA na UWEZO Kenya, Uganda na Tanzania inaenda kuingia doa na dosari kubwa

    Nafikiri ungepeleleza kabla ya kutamka kwamba hakuna uwazi jinsi walivyochagua sample. Angalia taarifa kamili ya TWAWEZA hapa http://www.twaweza.org/uploads/files/PolPoll-EN-FINAL.pdf Kama kuna sifa kubwa ya huu utafiti wa TWAWEZA, tofauti na tafiti nyingine ni kuwa umefanyika kisayansi, kukiwa...
  4. M

    CCM Wapokea Kadi za Wapinzani / UKAWA kwa Malundo

    1. Umaskini unamfanya mtu ajiuze? Wale wanaojiuza kwenye western world kwani ni kwa ajili ya umaskini kwani.. Na unajiaminisha kuwa kesho Lowassa akiwa Raisi ndio wataacha kujiuza? pole sana ndugu yangu kama unafikiri hivyo. 2. Mgawo uliopo sasa haufikii hata asilimia 10 ya ule uliokuwepo...
  5. M

    CCM Wapokea Kadi za Wapinzani / UKAWA kwa Malundo

    Huwezi kuamini jinsi gani ama (1) watu wako bado in denial (2) ama wanashabikia tu bila kufikiria kwa makini gharama (consequences) zitakazowatokea watanzania ikiwa kweli wanachosema kitatimia (3) ama wapo katika jamii forum kama jeshi la mashambulizi la ku-deflect kila linaoongelewa ambalo ni...
Back
Top Bottom