Recent content by Mama Terry

  1. M

    Nimetimiza miaka 10 ya ndoa toka nilipo oa nikiwa na miaka 19

    Unafikiri kumuacha mke mchezo eee Utakufa wewe kwa stress
  2. M

    Mke wangu ametaja ALEX wakati tunafanya mapenzi

    Jaman acha kumpa mwenzio stress
  3. M

    Wanaume wenye michepuko huwa mnawachukuliaje mnaochepuka nao?

    Hata asipozingua mnaendaga tuu Tena hamna wanaume wanacheat kama ambao nyumbani kuna amani na wanapata kila kitu
  4. M

    Wanandoa wanawezaje kuishi pamoja kwa muda mrefu?

    Wewe ndo mimi aisee tuna miaka 11 lakin hata akisafiri machozi yananitoka
  5. M

    Siku hizi wanawake huchoka mapema sana wakati wa kufanya mapenzi

    Ukiona anachoka kuna namna humkuni vizuri, aisee nikutane na mtombaji wa maana nichokee noo way tutaenda hata 6, manake mwanamke akikolea ndo hamu inazidi Au unakutana na wenye madeni vikoba🏃‍♀️🏃‍♀️
  6. M

    Matumizi ya shanga kutengeneza shape kiunoni

    Hamna Watu hatujui shanga na shape tunazo😀😀
  7. M

    Nina udhaifu wa kuhonga sana michepuko, Nilishahonga Milion 1 zaidi ya mara moja. Hata mke wangu sijawahi kumpa hiyo pesa

    Ukiona unatanguliza peda sana ujue kwenye show haupo vizuri😀😀 We endekeza tu finally uzeen
  8. M

    Wanaume ambao hatujawahi kukutana na bikra tujuane hapa

    Huwezi ukampata malkia wakati wewe sio mfalme, Type ya wanawake unaokutana nao ni Kama wewe ulivyo Bikra wapo wengi tu hadi 22 huko but wanakutana ná wa kufanana nao 😀
  9. M

    Jinsi nilivyonusurika kupata HIV

    Hujajifunza kuacha eee Hiyo ni Mungu tu kakuokoa hamna umakini wowote uliokuwa nao
  10. M

    Nashindwa kupenda mtu mwingine

    Huyo hajachoka Siku akichoka nakuapia hatakaa ageuke usimchukulie poa
  11. M

    Huyu mchepuko aambiwe ukweli au aachwe hivyo hivyo aendelee kujimwambafai?

    Hongera sana Lakin hizo unazofuja ungesave tuu ingesaidia kubreak poverty chain kwenye familia Ná Kama hata wewe usipokuwepo zitaendelea kuingiza hela Kama kawaida sawa All the best ná Mungu akusaidie uache usije kuua familia ná magonjwa 🙏
Back
Top Bottom