Jinsi nilivyonusurika kupata HIV

Jinsi nilivyonusurika kupata HIV

Wakuu nawasalimu.

Ni mambo ya mitandaoni tu, nimekutana nae. Mrembo sana. Kwakua familia iko mbali kidogo, nikaona nitume nauli aje mkoani tuponde raha. Professionally ni nurse, na nliwasiliana nae kwa miezi zaidi ya mitatu nikajiridhisha kuwa ni mtu mzuri ameshika dini hana shida. Siku ikafika, nauli nkatuma, basi likapandwa. Katika kujihakikishia usalama wa afya zetu, alinambia atakuja na vipimo vya "HIV rapid test". Nikasema sawa.

Alipofika, kabla hatujaanza mambo yetu akatoa vipimo..akanitoboa akatoa damu akaweka kwenye kipimo akaweka vile vimaji akaweka chini kusubiri matokeo. Muda huo nikatoboa kidole chake tukaweka damu kwenye kipimo kingine. Majibu yangu yakatoka negative na yeye akaona dalili za kutoka positive.. akaanza kuzuga anashika kipimo.. nikampokonya nikaweka pale.. goma likasoma vistari viwili vya HIV-1, ambayo ndiyo HIV common kwa huku kwetu. Pozi likaniishia. Hamu ikakata. Nikamwambia lala mpaka asubuhi, nitakupa nauli uondoke kwa amani. Kulipokucha tu nikampandisha gari za kwao.

Tukirudi nyuma kidogo, najiuliza, ingekuaje kama asingekuja na vipimo na mimi nisivyoweza kutumia kondom? Ningefanyaje?! Si ningeikwaa ngoma kirahisi sana. Nimejifunza kuwa makini!. Vijana tuwe makini tutunze afya zetu na tuzidi kumuomba Mungu, ana kawaida ya kutuepusha na majanga tusiyoyatarajia.

Siku njema wakuu!
Kwa hiyo umepata hasara kimasihara
 
Kuna tatizo mahala. Atakuwa ni mjinga kiasi cha kuja kufanya vipimo hapo kwako bila kujipima mwenyewe kwanza na vipimo ni vyake? Au isije ikawa mlichanganya vipimo. Embu pima tena maana umesema kinga hupendi.🤔
Chai hiyo wewe ipotezee kama sisi wengine
 
Chai hiyo wewe ipotezee kama sisi wengine
Bro, sio kila kinacholetwa ukiwa hujakiamini ww basi ulazimishe wengine wasiamini na kutoa mawazo yao, huo ni ubinafsi
 
Wakuu nawasalimu.

Ni mambo ya mitandaoni tu, nimekutana nae. Mrembo sana. Kwakua familia iko mbali kidogo, nikaona nitume nauli aje mkoani tuponde raha. Professionally ni nurse, na nliwasiliana nae kwa miezi zaidi ya mitatu nikajiridhisha kuwa ni mtu mzuri ameshika dini hana shida. Siku ikafika, nauli nkatuma, basi likapandwa. Katika kujihakikishia usalama wa afya zetu, alinambia atakuja na vipimo vya "HIV rapid test". Nikasema sawa.

Alipofika, kabla hatujaanza mambo yetu akatoa vipimo..akanitoboa akatoa damu akaweka kwenye kipimo akaweka vile vimaji akaweka chini kusubiri matokeo. Muda huo nikatoboa kidole chake tukaweka damu kwenye kipimo kingine. Majibu yangu yakatoka negative na yeye akaona dalili za kutoka positive.. akaanza kuzuga anashika kipimo.. nikampokonya nikaweka pale.. goma likasoma vistari viwili vya HIV-1, ambayo ndiyo HIV common kwa huku kwetu. Pozi likaniishia. Hamu ikakata. Nikamwambia lala mpaka asubuhi, nitakupa nauli uondoke kwa amani. Kulipokucha tu nikampandisha gari za kwao.

Tukirudi nyuma kidogo, najiuliza, ingekuaje kama asingekuja na vipimo na mimi nisivyoweza kutumia kondom? Ningefanyaje?! Si ningeikwaa ngoma kirahisi sana. Nimejifunza kuwa makini!. Vijana tuwe makini tutunze afya zetu na tuzidi kumuomba Mungu, ana kawaida ya kutuepusha na majanga tusiyoyatarajia.

Siku njema wakuu!
Siyo kila mwenye HIV anaweza kukuambukiza, ingekua hivyo nadhani hata kuku zingeugua HIV

Kwenye gonjwa hili nadhani iko namna ya maneno mengi sana kuzidi uhalisia, ugonjwa upo kweli lakini kiasi chake na namna unavyo ambukizwa hasa Kwa kujamiana, aisee namna ya mnyororo ulivyo wa ngono asingekuwepo mzima
 
Siyo kila mwenye HIV anaweza kukuambukiza, ingekua hivyo nadhani hata kuku zingeugua HIV

Kwenye gonjwa hili nadhani iko namna ya maneno mengi sana kuzidi uhalisia, ugonjwa upo kweli lakini kiasi chake na namna unavyo ambukizwa hasa Kwa kujamiana, aisee namna ya mnyororo ulivyo wa ngono asingekuwepo mzima
Hebu tupe muongozo mkuu
 
Wakuu nawasalimu.

Ni mambo ya mitandaoni tu, nimekutana nae. Mrembo sana. Kwakua familia iko mbali kidogo, nikaona nitume nauli aje mkoani tuponde raha. Professionally ni nurse, na nliwasiliana nae kwa miezi zaidi ya mitatu nikajiridhisha kuwa ni mtu mzuri ameshika dini hana shida. Siku ikafika, nauli nkatuma, basi likapandwa. Katika kujihakikishia usalama wa afya zetu, alinambia atakuja na vipimo vya "HIV rapid test". Nikasema sawa.

Alipofika, kabla hatujaanza mambo yetu akatoa vipimo..akanitoboa akatoa damu akaweka kwenye kipimo akaweka vile vimaji akaweka chini kusubiri matokeo. Muda huo nikatoboa kidole chake tukaweka damu kwenye kipimo kingine. Majibu yangu yakatoka negative na yeye akaona dalili za kutoka positive.. akaanza kuzuga anashika kipimo.. nikampokonya nikaweka pale.. goma likasoma vistari viwili vya HIV-1, ambayo ndiyo HIV common kwa huku kwetu. Pozi likaniishia. Hamu ikakata. Nikamwambia lala mpaka asubuhi, nitakupa nauli uondoke kwa amani. Kulipokucha tu nikampandisha gari za kwao.

Tukirudi nyuma kidogo, najiuliza, ingekuaje kama asingekuja na vipimo na mimi nisivyoweza kutumia kondom? Ningefanyaje?! Si ningeikwaa ngoma kirahisi sana. Nimejifunza kuwa makini!. Vijana tuwe makini tutunze afya zetu na tuzidi kumuomba Mungu, ana kawaida ya kutuepusha na majanga tusiyoyatarajia.

Siku njema wakuu!
Hujajifunza kuacha eee
Hiyo ni Mungu tu kakuokoa hamna umakini wowote uliokuwa nao
 
Siyo kila mwenye HIV anaweza kukuambukiza, ingekua hivyo nadhani hata kuku zingeugua HIV

Kwenye gonjwa hili nadhani iko namna ya maneno mengi sana kuzidi uhalisia, ugonjwa upo kweli lakini kiasi chake na namna unavyo ambukizwa hasa Kwa kujamiana, aisee namna ya mnyororo ulivyo wa ngono asingekuwepo mzima

Sahihi mkuu...
Nimeishi na mtu mwenye HIV miezi mitatu bila kujua, yeye ameishi na huu ugonjwa 10 years...

Lkn sikupata maambukizi pamoja na show za kibabe na michubuko kadhaa iliyotokea nikiwa na shave...

Nitaleta huo mkasa hapa nikipata mda...

Tangu siku hiyo siuogopi tena ukimwi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom