Recent content by mama Sue

  1. M

    Msaada: Nahitaji msambazaji wa ream papers

    Hellow....ulifanikiwa kupata supplier wa reams....nami nahitaji mmoja...pls
  2. M

    Msaada: Kununua madaftari, kalamu na ream papers toka kiwandani

    Ndugu ulifanikiwa? Maana Nina shida km yako....naomba unijuze pls
  3. M

    Sabuni ya jamaa na Tanzania ya viwanda

    Thread nzuri sana hii
  4. M

    Nahitaji kufanya kitu kama cha MAK JUICE mkoani

    Zanana juice insta....wanafanya km Mac juice tofauti yao ni aina ya package na wafanyakazi wao wana sare nzuri
  5. M

    Kipi bora kati ya miembe ya kisasa na mitiki?

    Maembe kwanza then mitiki. ..maembe utavuna kila mwaka ila mitiki Sina uhakika
  6. M

    Sabuni za mawingu zinapatikana

    Yapi? Matumizi ya kawaida ya sabuni yanayofahamika....kufua..kuosha vyombo..kuogea...nk
  7. M

    Sabuni za mawingu zinapatikana

    Nipo kigoma...0782332176...sabuni carton moja ina miche 20 na inauzwa sh 24000...nipo kigoma. ..njia ya Dar na Mwanza natuma Kwa Gari za mizigo kwa gharama nafuu ya mteja..karibuni sana...uaminifu ni nguzo ktk kazi ...sabuni haziwashi..zina harufu nzuri na zafaa kwa matumizi yote ya nyumbani
  8. M

    Malengo yangu ya kuweka Tsh 20,000 kila siku

    Hongera sana ndugu...nimependa idea yako
  9. M

    Ushauri: Mimi mwajiriwa Serikalini, nataka nichukue mkopo (kwa kutumia ajira yangu) kisha niache kazi

    Ukishachukua mkopo uhame kabisa Ila wakikupata watakushtaki hata km una mafao. ..umevunja mkataba
  10. M

    Karibu Sabuni za miche kwa bei ya jumla

    karibuni sana...Sabuni nzuri zipo kwa bei poa
  11. M

    Karibu Sabuni za miche kwa bei ya jumla

    Habari...karibu sabuni za miche kwa bei ya jumla ..carton yenye miche 20 kwa sh..24000.. Sabuni ni nzuri..hazichubui. .zina povu na huondoa uchafu haraka..pia ina harufu iliyotuliaaaaa. ..niko kigoma na nakutumia popote usafiri wa moja kwa moja unapofika ambapo utachangia nauli....njia ya...
Back
Top Bottom