Ni kweli mie walishanipiga 20,000/- wabadilishwe waletwe watumishi wenye hofu ya Mungu na wachapakazi. Magufuli mulika hao watu wanaabisha serikali yako.
Sheria ichukue mkondo wake, huyo mtoto asaidiwe nguvu ya pesa isiwe sababu ya kumnyanyasa kijinsia mtoto mdogo kama huyo. Hivi huyu si ni alhaji ndocho alichoendea macca kujifunza ubakaji? waislam mko wapi katika kumtenga fedhuli huyu ameiabisha dini anastahili kutengwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.