jamani huyo Laizer mwenyewe anatakiwa astaafu aachie Askofu mwingine tena aongeze Dayosisi Arusha na yeye anangangania kama CCM kwaiyo kumtambua kwake meya hatuoni ajabu nikiwa kama mluteri tumechoka na wewe lazer nivizuri ukastaff sasa wakati umefika
Wewe fredrick sanga kama na wewe unataka kwenda mahakamani nenda siyo useme watu hawana kazi ndiyo wamekwenda au vijana wavijiweni unajiona wewe unakazi nzuri sana kama nikazi niyako jaribu kuwa unaongea point ndiyo maana hueleweki.
Jinsi ambavyo unakiri muheshimiwa amepita kwa kura nyingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.