Recent content by malunde_mc

  1. malunde_mc

    Natafuta Kazi

    Nipo ushetu shinyanga
  2. malunde_mc

    Natafuta Kazi

    Kivip wajina mugah do mathew
  3. malunde_mc

    SoC01 Jinsi zawadi za shindano la Stories of Change zinavyoweza kubadili maisha ya washindi

    Hata Mimi niliandika Uzi umepotea nikaandika mwingine tena nao umepotea
  4. malunde_mc

    Natafuta Kazi

    Natafuta kazi katika nyanja ya kilimo na mifugo nina Diploma ya General Agriculture wadau naomba msaada wenu.
  5. malunde_mc

    SoC01 Kilimo cha kimkakati ili kuondoa upungufu wa mafuta ya kula nchini

    Kilimo cha kimkakati ni aina ya kilimo kinacholimwa kwa lengo la kuzalisha mazao yanayotosheleza mahitaji ya nchi na kubaki ziada. Kwa miaka mingi sasa kumekuwa na tatizo la upungufu wa mafuta ya kupikia nchini.Ili kuondokana na tatizo hilo nchi inatakiwa kuanzisha kilimo cha mazao yafuatayo...
  6. malunde_mc

    Natafuta Ajira fani ya Kilimo

    Habari wana JF Nina Diploma in General Agriculture natafuta kazi katika fani hiyo.Mshahara maelewano.
  7. malunde_mc

    Kazi za kujitolea Moshi-Kilimanjaro

    Nimesoma general agriculture naweza kupata nafasi ya kujitolea halo.
  8. malunde_mc

    SoC01 Ulaghai unaofanywa na baadhi ya vyuo nchini, chukua tahadhari na usitapeliwe

    Hilo tatizo niliwahi kukumbana nalo chuo kilifungwa na tukahamishiwa chuo kingine matokeo take tukasoma diplomamiaka 4
  9. malunde_mc

    SoC01 Kilimo ni nguzo mama kuelekea uchumi wa viwanda

    Kilimo ni uzalishaji wa mazao kwenye mashamba.Kilimo kina maana pana sana inayojumuisha uzalishaji wa mimea,ufugaji wa mifugo pamoja na uvuvi.Tanzania takribani 70% ya wakazi wake hujishughulisha na kilimo. Zifuatazo ni faida za kilimo. Kupatikana kwa chakula :-Kilimo kinawezesha kupatikana...
Back
Top Bottom