Polisi acheni ushabiki wa kisiasa, waachieni akina Mbowe mkachukue ushahidi kwa akina Nape /Mwigulu Nchemba . Mbona akina Nchemba hawajakamatwa na Video ya Lwakatare?
CCM hawana uchungu na wapiga kura wao hata bungeni hawatuthamini kabisa wananchi wapo kwa masilahi yao binafsi na hata wanapo ua kwa sasa wanaona ni kitu cha kawaida. bom la Arusha watakuwa wamehusika kwa asilimia mia kwanza wameshafulia ila hawataki kukubali ukweli sasa wanatumia nguvu...
Huu ni uzembe wa utawala wetu kutokuwa makini katika mapato na matumizi ya nchi.
Wanafuatilia mambo madogo madogo na kuacha makubwa yanayoingizia taifa hasara.
Taarifa Hii ya LEMA kuvuliwa Ubunge inasikitisha, Sababu hasa nini maana sikuwa nafuatilia Kesi yake. Hata hivyo hizi chaguzi mbona zinagharimu Taifa fedha nyingi! Kwani ni fedha za walipa kodi. Je uchumi wetu utakuwa kwa jinsi hii?:fear:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.