Recent content by Malipo

  1. M

    Ushauri wa bure: CCM 2025 itutafutie mgombea sio Samia

    Mnataka muanze kuktupeleka kusikojulikana na kupiga risasi saa 7 chana kama mnawinda pori LA akiba. Sisi huyu anatosha Hadi katiba imkatae acheni mambo ya aajabu. Ingekuwa enzi zile hata wewe kuleta hiki kiuzi ucngejaribu. Kama Mungu ameona anafaa akamteua sisi ni akina nani hadi tukatae. Maana...
  2. M

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kwanza heshima kubwa kwa Mama Mungu akubariki. Bei za mazao ya chakula imepanda tena sababu 3 kuu zikitajwa. Moja ni kupanda kwa Bei za mafuta, mbili ni wanunuzi Toka nje na tatu ni uzalishaji mdogo kwa msimu uliopita. Nianze ya mafuta hii hulaumiwi ipo nje ya uwezo wako. Anaelaumu nae...
  3. M

    Hili la mbunge baraza la wawakilishi kuwadharau samaki aina ya Kambale na Sato wa ziwa Victoria lisipite pasipo mjadala. Linatoa picha mbaya

    Sasa ubaguzi wao uko wapi. Au ndio sijaelewa, wao Zanzibar ni nchi kwa mujibu wa karibu yao na uhalisia wa maisha yao na anaongea mambo ya nchini kwao sato na kambale sio samaki wa asili kwao na kifupi hawatakuwa na wapenz kwann serikali itumie pesa vibaya? Hao kambale na sato kambale kuleni...
  4. M

    Naombeni ushauri wa haraka kuhusu huyu binti

    Mamaako kijijin anateseka uko bze kununua dhambi, ndio maana vijana wengi wana laana ila hawajijui. Mama Ako angekpa shukran nyingi utadhan we ndo umemzaa na angeendelea kukuombea mafanikio. We endelea kumfuatilia huyo binti kuna Jambo kubwa like nyuma yako usiache kutuletea hapa.
  5. M

    Inauma, inaumiza, inakereketa! William Mungu anakuona

    Eti analalamika kaachwa kwa stahili hiyo ya maisha ya hizo picha, hayupo mwanaume mwenye akili timamu wa kumwoa hata kama amemsomesha tangu chekechea sio tu kutoa mahali. Hana dhambi William. Mi naona amemuacha kwa ukaminifu sana kama Yusuf kwenye biblia . Mi ningemkatalia wakati wa kiapo cha...
  6. M

    Nafasi ya Waziri Mkuu katika utawala wa Serikali inaweza kupunguzwa

    Well said, ila hata nafas za DC ,RC, manaibu waziri, naibu spika zingine nyingi tu kwa nchi yetu zina umhimu ila sio za lazima zinaweza kuondolewa na nchi nikawa poa tu.
  7. M

    Njaa inanukia, mvua zimegoma. Serikali zuieni kuuza chakula nje ya Nchi

    Kwa kweli mleta mada mi sijajua ni utoto au utu uzima uliopitiliza yaan wakulima wanateseka na kupambana na hali ngumu na ghalama kubwa ya mbolea na madawa bila msaada halafu we unaleta ufahamu wako wa kwenye kijiko cha chai wasirusiwe kuuza chakula. Wengine matusi na kudharauliwa huwa mnataka...
  8. M

    Serikali zuieni chakula kuuzwa nje ya nchi, hali ni ngumu. Mbona mmeziba masikio?

    Kwa kweli mleta mada mi sijajua ni utoto au utu uzima uliopitiliza yaan wakulima wanateseka na kupambana na hali ngumu na ghalama kubwa ya mbolea na madawa bila msaada halafu we unaleta ufahamu wako wa kwenye kijiko cha chai wasirusiwe kuuza chakula. Wengine matusi na kudharauliwa huwa mnataka...
  9. M

    Ufisadi na ubadhirifu kwenye halmashauri za miji umerudi kwa kasi. Pesa za umma zinatafunwa kama njugu

    Ndugu hakuna wakati ufisadi ulikoma sema tu ulinyimwa taarifa za wazi na wapigaji. Ndio maana uliingia kwenye giza la kuamini kuwa huenda wamekoma kufanya ufisadi. Kupenda uovu ni roho mchafu atokaye kwa baba yao watendao uovu, haikomi kwa Sheria iwayo yoyote ila kwa rehema na neema kutoka kwa...
  10. M

    Huyu Rais ana akili nyingi sana

    Mungu wa mbingu na nchi akupe neema ya msamaha maana hujui utendalo
  11. M

    Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

    Nataman hata kutowaamini hawa viongozi wa Dini na madhehebu kwasababu wamegeukia Nebukadneza wamebaki wachache tu amina Daniel, Hanania,Michael na Azaria.
  12. M

    Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

    Naijua kuwa ni zamani ila leo nikiwa naitafakar na kwa bahati nzuri Uzi bado juu. Sasa kama ni hivo wakuu wa Dini yake wanaogopa kumwambia kwamba si sawa au ndo uoga wa viongozi wa Dini nyingi uliowakumba tangu awamu ya 5
  13. M

    Sheikh apinga Urais kwa mwanamke

    Ningepata anyejua vizuri anieleweshe hiyo ni maoni ya Sheikh au ni kwa mujibu wa Dini na maandiko yake? Ingenisaidia sana.
  14. M

    Andiko la kutii mamlaka. Je, watu watii mamlaka?

    Kwanza serikali karibia zote ni za mpinga Kristo. Mtawala au serikali yoyote ambayo haijapatikana kwa utaratibu unaompa Mungu wa mbingu na nchi utukufu haitokani na Mungu. Kutoka 18:21 Zaidi ya hayo utajipatia katika watu hawa watu walio na uwezo, wenye kumcha Mungu, watu wa kweli, wenye...
  15. M

    Rais Samia: Awamu ya 5 heshima iliyokuzwa ni ya uoga kwa sababu kulikuwa na Simba wa Yuda, ukimgusa sharubu anakurarua, hatukukua kivile

    Kwahiyo kama mjinga akifanya kitu cha kijinga halafu mwelevu akamuiga nani atalaumiwa. Lugola watu tulimuona ni moja Kati ya vijana wajinga walioitetea posho ya mfalme Nebukadneza ili waishi sasa yeye anatetea nini hadi kumuigamjinga?
Back
Top Bottom