Recent content by Malindika

  1. M

    Special Thread: Taarifa za Kampeni za Mgombea urais kupitia CCM, Dr. Pombe Magufuli na Samiah Suluhu

    Eneo la kwa Mama John Mbeya liligeuka uwanja wa vita kwa muda jioni baada ya kampeni za CCM kumalizika. Mara baada ya msafara wa Magufuli na viongozi wengine wa CCM kuondoka, gari aina ya Land Cruiser lenye machata ya Sugu 2015 lilipita likisindikizwa na vijana waliokuwa wakishangilia. Mara...
  2. M

    Kwanini iwe ni Magufuli kwenda Ikulu??

    Of course hilo linajulikana we need him more than anyone.. mtu pekee ambaye angeweza kufanya nijishauri mara mbili kura yangu iende upande gani ni Dr Slaa.
  3. M

    Dk. Milton Makongoro Mahanga atangaza rasmi kujiunga CHADEMA

    Mwizi huyu sijasahau alichomfanyia mpendazoe matokeo ya 2010, kweli nimeamini binadamu ni wepesi wa kusahau.
  4. M

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    NImegundua hicho kitu hata mimi kaka
  5. M

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Kama kuna kitu ambacho kilikuwa kikinishangaza wakati wagombea wakizunguka kujinadi kabla ya kura za maoni ilikuwa ni habari kuwa waziri wa maliasili na utalii ambaye ni mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu kwamba hakubaliki na alikuwa anazomewa kila alipokuwa akienda. Ilifikia hatua...
  6. M

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Wakuu mkutano unakaribia kuanza na wajumbe wameshaingia ukumbi mpya wa mikutano wakisubiri wajumbe walio kwenye mkutano wa NEC waje na majina matatu. Hii link tayari imeanza kuonyesha http://livestream.com/CCM/Uchaguzi2015 UPDATE: Nape ametangaza kuwa Top 3 itasomwa saa tatu usiku na moja...
  7. M

    Mawaziri mliotangaza nia igeni mfano wa Nyalandu

    Yule naibu waziri wa mawasiliano ndio hadi kitanda alihamishia kwenye basi
  8. M

    Huyu mgombea anamuwakilisha nani?

    Nimekutana hii video inamuonyesha dogo anashuka kama mgombea wa CCM kuchukua fomu. Inaonekana kama iko kiucheshi zaidi lakini ni kama vile wahusika wamelenga kufikisha aina fulani ya ujumbe kupitia huyu "dogo jembe". Anaefahamu nini kinaendelea atujuze tafadhali.
  9. M

    Waziri Nyalandu atoa Lecture Cambridge University

    Kama huoni mashiko chapa lapa kwenye jukwaa la mapenzi na mahusiano. Uliza viongozi wangapi walishawahi kupata mualiko wa kuhutubia vyuo vikuu vya wenzetu.
  10. M

    Waziri Nyalandu atoa Lecture Cambridge University

    Alikuwepo Nkrumah mwezi wa nne mkuu
  11. M

    Waziri Nyalandu atoa Lecture Cambridge University

    Lecture by Hon. Lazaro Nyalandu at the University ofCambridge The University ofCambridge Wildlife Conservation Society, Kings College, Cambridge, UK 12/6/2015 It is my special pleasureand honor to join you this evening. Standing before you tonight gives me a senseof pride and purpose...
  12. M

    Kwenye matangazo yao, Airtel hawana mpinzani

    Airtel wamepunguza vifurushi na dakika.
  13. M

    Kwenye matangazo yao, Airtel hawana mpinzani

    Someni na hii kuhusu Airtel, 300mb? https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/852854-majanga-ya-airtel-kupunguza-bundles-ni-zaidi-ya-yule-msanii-shilole-kucheza-uchi.html
  14. M

    Majanga ya Airtel kupunguza bundles ni zaidi ya yule msanii Shilole kucheza uchi

    Inaonekana panga la MB bado halijafika mwisho na kwa mara nyingine tena Airtel wameniangusha kwa kupunguza kiwango cha MB katika vifurushi vyao. Hii ni baada ya kutoa tangazo linaloonyesha mabadiliko kadhaa katika vifurushi vyao. Mimi binafsi natumia vifurushi vya Yatosha ambapo leo kilipoisha...
Back
Top Bottom