Kumbe ni Vatican News. Mbona hutuletei kashfa za viongozi wa kanisa katoliki jinsi linavyowalawiti vitoto vya kiume. Subiri na wao watuletee Makkah News
Wewee ndio taahira la kuwaza kwa makalio pumbafu yako pumbafu kabisa.
Soma uelewe
1. Sijaandika eti waisraeli walipambana na farao.
2. Ardhi walipewa na waingereza
Umelewa ???
Mkuu alipozindua kiwanda cha kusindika.mafuta ya kula pale Singida alikemea tabia ya baadhi ya wafanyabiashara kuleta mafuta kutoka nje.na badili yake wajenge viwanda kama alichozindua. Na jamaa (maafisa serikalini) hawapigiwi wanacheza ndio hivyo mkuu kasema
Hata wao waisraeli si wageni wa kifo walianzwa tangu dunia inaanza walionja kwa Farau na Mungu akamleta Musa akawaokoa lakini wakaendelea kunajisi dunia Mungu tena akawaletea Hitler akawauwa mamilioni dunia ikawaokoa wakapewa kipande ya Ardhi wakaona haitoshi wakawapora na kuwauwa waliowakuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.