Hali hii inaendelea mpaka muda huu, Liwale Mjini. Chanzo cha tukio ni kutolewa kwa malipo ya pili, sh. 200/= tofauti na risiti ya madai ya sh. 600/= ndipo kasheshe imeanza hapo kijijini Liwale B, vurugu za mabomu zimehamia Liwale mjini. Kesho vurugu itakuwa kubwa kwani ni siku ya malipo mjini...
Habari za uhakika kutoka Liwale mkoani Lindi ni kwamba wananchi wameingia mitaani kudai pesa za malipo ya pili ya korosho.
Polisi wameamua kujibu kwa kutumia mabomu, hali ni mbaya! Wananchi wamechoka kusubiri ahadi zisizo za ukweli tangu mwezi wa 10, 2012 hadi hii leo hawajalipwa pesa za awamu...
Habari za kuaminika Mkuu wa JKT Mstaafu ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kupitia wilaya ya Tandahimba, mkoani Mtwara, Makame Rashidi amefariki usiku wa manane, hospitali ya Lugalo.
Hapa umenikuna kwa kufikisha ukweli kwa watu wanaokurupuka toka usingizini na kutoa mawazo mgando. Hongera Mwigulu kwa kumaliza mafunzo ya JKT, jitahidi kumshawishi NAPE nae aende JKT ili apate dozi za uzalendo
Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo anadaiwa kutumia ujanja katika wasifu na elimu yake ambapo katika maisha yake ya kielimu ametumia majina manne tofauti. Philipo Augustine Mulugo ndiyo jina lake halisi ambalo alilisomea mpaka alipohitimu...
Habari zenu, mabibi na mabwana, marafiki zangu wa kwenye mtandao na wale wasio marafiki zangu ambao naamini kwa namna moja au nyengine mtakapo soma habari hii mtaipeleka kwa jamaii inayowazunguka ili kuweka hali vizuri .
Maisha ni kuhangaika na kwamba inataka mtu anayefahamu njia sahihi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.