Sasa la ajabu ni lipi maneno dhidi ya lowassa hayajaanza leo, yamezoeleka. na hapo ndipo uwezo wa mahasimu wake ulipoishia .. ni kutunga tunga tu maneno
Narudia tena!
Maana kuna watu wanajifanya njuguyugu hawataki kuelewa!
=========
Bahati Bukuku hana kosa, ni haki yake kumuimbia na kumsifia Lowassa, Ibara ya 18 ya katiba inamruhusu. Acheni umbea na hoja za kijinga. yani leo kwasababu kamuimbia na kumsifu Lowassa ndio amekosea. Mchungaji Msingwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.