Naona kimya kimetawala kuhusu update ya michango ya baraza kuu la chadema. Je lengo limetimia au vipi?
Kama lengo limetimia mbona hamuwaambii watu waache kuchangia?
Wewe akili Huna kabisa unawaza kuhusu goli la mama.hao wanasiasa wenu wakialikwa ikulu au kwenye vikao hawapewi posho? Au hao chadema walikuwa hawapewi ruzuku kutoka kwa serikali ? Au unataka kusema serikali ingesema hizo ruzuku wangeziita ruzuku za mama msingelizichukua? Acheni usham
Mzee warioba ulikuwa mwanasheria mkuu wa Mwalimu Nyerere wawe ndiye uliemshauri Mwalimu Nyerere kumuweka kizuizini Mzee Abood Jumbe mpaka Mzee wa watu amefariki.je hiyo sheria kwanini mliipitisha? Kama sio wewe uliyemshauri kwanini hukujiuzuru kama njia ya kutokukubaliana na ukiukwaji wa haki za...
Trilateral Mecca Defence Agreement — rasmi zaidi ikiitwa Mecca Joint Defence Agreement — ni mkataba mpya wa ulinzi wa pande tatu uliosainiwa tarehe 7 Agosti 2026 huko Makkah, Saudi Arabia, kati ya:
Saudi Arabia
Türkiye (Turkey)
Pakistan
Mkataba huu umeingia wakati ambapo hali ya usalama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.