Recent content by malemba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

    Wewe unaelekea huna akili kama hakinuhusu kwanini walinihubirai nichangie?
  2. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

    Hiyo ilikuwa update ya wiki iliyopita
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

    Naona kimya kimetawala kuhusu update ya michango ya baraza kuu la chadema. Je lengo limetimia au vipi? Kama lengo limetimia mbona hamuwaambii watu waache kuchangia?
  4. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zambia 2026: Hakainde Hichilema ashinda Urais kwa muhula wa pili

    Huyu mpinzani alipozingua pale aliposema Zambia ni taifa la kikristo. Huyu mgombea jau sana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Kwani yeye sio mtanzania? Mbona anauhuru wa kuongea?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Wewe akili Huna kabisa unawaza kuhusu goli la mama.hao wanasiasa wenu wakialikwa ikulu au kwenye vikao hawapewi posho? Au hao chadema walikuwa hawapewi ruzuku kutoka kwa serikali ? Au unataka kusema serikali ingesema hizo ruzuku wangeziita ruzuku za mama msingelizichukua? Acheni usham
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kwa hali ilivyo ndani ya CHADEMA, huenda John Heche akajiuzulu kabla ya kubanduliwa madarakani na mkutano wa baraza kuu la chadema taifa mwezi ujao..

    Vipi michango ya chama imekamilika au bado naona wapo kimya.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    Mzee warioba ulikuwa mwanasheria mkuu wa Mwalimu Nyerere wawe ndiye uliemshauri Mwalimu Nyerere kumuweka kizuizini Mzee Abood Jumbe mpaka Mzee wa watu amefariki.je hiyo sheria kwanini mliipitisha? Kama sio wewe uliyemshauri kwanini hukujiuzuru kama njia ya kutokukubaliana na ukiukwaji wa haki za...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Mzee Warioba: Kwa manufaa ya umma, kwa nini Tundu Lissu asiachiwe kama watuhumiwa wengine wa uhaini walioachiwa?

    Mimi huyu mzee namshangaa sana.kwani kwenye mahabusu yupo lisu pekee? Kwanini usiwapiganie woote wenye kesi mahakamani? Kwanini Lisu tu? Je Huyu Mzee anamaslahi gani na harajkati za chadema?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Huu muungano wa nchi tatu za Ghuba una maana gani mashariki ya kati?

    Trilateral Mecca Defence Agreement — rasmi zaidi ikiitwa Mecca Joint Defence Agreement — ni mkataba mpya wa ulinzi wa pande tatu uliosainiwa tarehe 7 Agosti 2026 huko Makkah, Saudi Arabia, kati ya: Saudi Arabia Türkiye (Turkey) Pakistan Mkataba huu umeingia wakati ambapo hali ya usalama...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Enyi CHADEMA, Mauaji ya Okt 29 ya CCM, ni sawa na Mauaji ya Kenya 2007 yaliyozaa Katiba Mpya. Komaeni, Pambaneni, Samia na CCM watabana ila Wataachia

    Enheee hiyo katiba mpya ya Kenya imewasaidia nini? Je katiba mpya ya Kenya imeweza kutatua tatizo la ukabila, ajira au maisha magumu?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Hekima iliyotumika kufuta kesi ya Mbowe, itumike kwa Lissu

    Ni kweli au unamsemea tu kwa kuwa upo uraiani huku?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Double standards kwenye kupigania harakati za Haki

    Hiyo tabia imeendekezwa na udini.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kiongozi gani wa CHADEMA anaweza kuwania urais 2030 na kuleta ushindani kwa CCM kati ya hawa?

    Kwani hizo reform zimepatikana?
Back
Top Bottom