Recent content by malemba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Heche ndio msaliti wa chadema

    Habari za asubuhi kuna kila dalili John Heche anamsaloti Lissu. Tundu Lissu alinukiliwa akisema Makamu nifikishie Taarifa za pole lakini heche hataki mpaka Jana Lema ndio kafikisha hizo salamu. Lakini haitoshi katika chapisho la Lema alisema John Heche amepata Passport yake kwa njia tofauti na...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Fatma Karume ameonekana kwenye Hitma ya Hafidh Ameir

    Mbona akina Dr silaa,Warioba,TEC,Polepole, hawakumpinga Magufuli? Kila mtu anampinga mtu kwa kutokana na interest zake hakuna unafki hapo.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Je, Katiba inasemaje ikiwa Rais atakuwa Eda?

    Acha chuki za kipumbavu wewe
  4. M

    JamiiForums Tanzania Je, kutatokea nini Lissu akihukumiwa kunyongwa hadi kufa?

    Kutatokea amani
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

    Wewe unaelekea huna akili kama hakinuhusu kwanini walinihubirai nichangie?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

    Hiyo ilikuwa update ya wiki iliyopita
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kujua kuhusu update ya michango ya CHADEMA

    Naona kimya kimetawala kuhusu update ya michango ya baraza kuu la chadema. Je lengo limetimia au vipi? Kama lengo limetimia mbona hamuwaambii watu waache kuchangia?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zambia 2026: Hakainde Hichilema ashinda Urais kwa muhula wa pili

    Huyu mpinzani alipozingua pale aliposema Zambia ni taifa la kikristo. Huyu mgombea jau sana
  9. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Watanzania Wanaishi kwa Uoga, Wanaogopa Kutekwa, Kupotea na kubambikiwa Kesi za Uhaini

    Kwani yeye sio mtanzania? Mbona anauhuru wa kuongea?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Video: Heche kuna ujumbe wako hapa, acha kuropoka

    Wewe akili Huna kabisa unawaza kuhusu goli la mama.hao wanasiasa wenu wakialikwa ikulu au kwenye vikao hawapewi posho? Au hao chadema walikuwa hawapewi ruzuku kutoka kwa serikali ? Au unataka kusema serikali ingesema hizo ruzuku wangeziita ruzuku za mama msingelizichukua? Acheni usham
  11. M

    JamiiForums Tanzania Jaji Warioba: Nashangaa kuona watu wanakamatwa na polisi, wanapelekwa mahakamani kwa shitaka ya ugaidi

    Mzee warioba ulikuwa mwanasheria mkuu wa Mwalimu Nyerere wawe ndiye uliemshauri Mwalimu Nyerere kumuweka kizuizini Mzee Abood Jumbe mpaka Mzee wa watu amefariki.je hiyo sheria kwanini mliipitisha? Kama sio wewe uliyemshauri kwanini hukujiuzuru kama njia ya kutokukubaliana na ukiukwaji wa haki za...
Back
Top Bottom