Recent content by malemba

  1. M

    Watanzania akamatwe nani ndiyo Mjitambuwe?

    tuwandamane kisa puppet lisu?
  2. M

    Zile kelele za Bandari zote zimeuzwa/ kapewa mwarabu zimeishia wapi?

    wamekimbilia kuwatetea wamasai wa ngorongoroa
  3. M

    Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu

    Tundu lisu huyu wa sasa ukimpa nchi kuongoza atamfunga tundulisu huyu.
  4. M

    Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu

    Tundu lisu huyu wa sasa ukimpa nchi kuongoza atamfunga tundulisu huyu.
  5. M

    Tundu Lissu akamatwa na Polisi akiwa Ngorongoro hotel Wilayani Karatu

    hawa watu wafungwe hata miaka mitatu bila ya kupewa msamaha wa rais ili akili iwakae
  6. M

    Hadhi ya kuitwa ‘Balozi’ huwa ina faida gani kwa mtu asiyetumikia tena ubalozini?

    vile vile kuna sifa za kijinga kwa watu wanafki wanaoamini wao lazima wawepo kwenye system.na wasipokuwa kwenye system wanagruka kuwa wanaharakati.
  7. M

    Rais Samia amvua hadhi ya Ubalozi Dkt. Slaa

    mimi nimeelewa uliposema sasa yeye haishi kupitia huo ubalozi. na je angeliishi kupitia huo ubalozi nadhani mkataba wa bandari ungefaa.
  8. M

    Sheikh Muharam Mziwanda adai Kanisa Katoliki linahusika na upotevu wa makontena Bandari ya Dar

    kwani nani asiyejua hilo? makatoliki hawakuwahi kuwa kikundi cha kidini bali ni kikundi cha makabahila na mabepali yanayonyonya mataifa maskini. mataifa yote yaliyoendelea makatoliki hayatii mkono
  9. M

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    kumbe harakati zoote za chadema zilianzia kanisani. leo ndio nimeamini chadema ni chama cha kanisa
  10. M

    Hivi hili jina Mwendazake wanalomuita Magufuli ni official?

    hilo neno mimi kwa mara ya kwanza nililisikia kanisani. kwa wale watu wa kanisa hilo ni neno la kawaida
  11. M

    Derby ya Kariakoo inapoteza mvuto

    kwa hiyo wewe watu wakizimia ndio derby kukua?
  12. M

    RC Makalla: CHADEMA Wanalalamika Diamond Platinumz amesababisha Mkutano Wao ukose Watu, nawaambia Mimi ndio nimemleta Diamond awape za Uso!

    sasa yeye mkuu wa mkoa anahusikaje na hayo maji? harafu ninyi mnataka mpewe madaraka wakati somo la civics mmelikimbia.
  13. M

    Tundu Lissu: Rais Samia anaendeleza ukatili wa Hayati Magufuli kwa kukamata Wakosoaji wa Mkataba wa DP World

    sasa mlivyopewa uhuru wa kuongea mkatukana watu na kuleta uchochezi wa kibaguzi za udini kwanini leo msifungwe?
Back
Top Bottom