Recent content by malemba

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu michango ya Tonetone naomba CHADEMA wanijibu maswali yafuatayo

    Kwani hiyo issues umeshamsikia ccm akimlaumu heche.hizo kashfa zinatolewa na chadema wenyewe M
  2. M

    JamiiForums Tanzania Mkewe Lissu alalamika kutomuona mumewe toka akamatwe: Ushauri apewe nauli aje

    Sawa kwahiyo LISSU yeye hana hatari ya kuishi hapa Tanzania bali mkewe ndio mwenye hiyo Hatari
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kuhusu michango ya Tonetone naomba CHADEMA wanijibu maswali yafuatayo

    Chadema wanajitutumua kwamba chama Chao ni chama pendwa kwa kuangalia idada ya michango wapo sahihi? Kama hilo ndio tumaini lao naomba wanijibu maswali yafuatayo. 1. Je inashindikana vipi watu kufanya hivyo kama njia ya kutakatisha fedha kutoka nje? Rejea malalamiko ya Lisu mwaka 2024 kwamba...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Swali chokonozi: Pamoja na ubabe wa Magufuli, kwanini hakuwai kumuweka Lissu Gerezani kwa njia ya shortcut?

    Kwa hiyo zile risasi hazikuwa ubaya? Je kuwekwa jela na kupigwa risasi ipi ni ukarili?
  5. M

    JamiiForums Tanzania Je, Tanzania inaweza kusimamishwa uanachama wa Jumuiya ya Madola isipotekeleza mapendekezo yake?

    Jumuiya ya madola ni nini?
  6. M

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Madola yaipa Tanzania siku 30 Kutatua suala la kushikiliwa kwa Tundu Lissu kupitia njia za kisiasa au kisheria

    Jumuiya ya madola ndio nini wapumbavu hao?.wakumbuke Tanzania ni nchi huru haipangiwi na kibaka yeyote awe wa ndani au wa nje. Mwambieni huyo mfugo rasta na wenzake waache kutafutatafuta huruma kwa mashoga wa nje ya nchi.yeye alitaka kukinukisha apambane na hali yake.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Kuna wanaojiita wanaharakati lakini kiuhalisia matendo yao ni ya kigaidi

    Kwani yaliyotokea October 29 umeyasahu ?
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kuinusuru CHADEMA kisiasa, Heche, Lema na Sugu wabanduliwe uongozini ili kukipa chama pumzi na uelekeo mpya kisiasa

    Mbona unageuza mada ? Hizo chuki zako za kipumbavu na kijinga dhidi ya viongozi wa nchi hazitokusaidia.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Tofauti yetu na wao iko wapi?

    HUU NDIO UDIKTETA KAMILI. Iko wapi haki ya kujieleza!!! Yaani watu wametoa tamko leo na wamefukuzwa leo,leo!!! Hii sio sawa kabisa,tunahitaji kupewa haki ya kujieleza. TOFAUTI YETU NA WAO IKO WAPI!!!
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wapo Kenya?

    Kwani kuna wangapi wanaoikosoa Tanzania wapo hapa hapa kwanini ukimbie nchi
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tupo kwenye vita kali sana ya kiuchumi na Kenya

    Sasa kuna mtu kakutaza kulima? Nenda kalime upate utajiri.
  12. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA kuna tatizo kama ni kweli

    Pia nasikia Heche kakimbilia Ubelgiji na pia twaomba ufafanuzi kwa hili.kwanini akimbilie ubelgiji na je anaenda huko kufanya nini?
  13. M

    JamiiForums Tanzania Bila CCM hii kutoka umasikini hautaisha

    Kwa hiyo hapo kwenu matajiri wametokana katika uongozi wa chadema? Acha kubeti fanya kazi
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wapo Kenya?

    Nashangaa sana kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wanaishi Kenya. Je, nani anaowahifadhi na nani anaowafadhiri hao wanaharakati? Je, huyo anayewafadhiri yeye ananufaika na nini na harakati hizo? Je, mbona wanaharakati wa Kenya hawaishi Tanzania? Je, Sheria zetu za jumuiya ya Afrika ya...
Back
Top Bottom