Chadema wanajitutumua kwamba chama Chao ni chama pendwa kwa kuangalia idada ya michango wapo sahihi? Kama hilo ndio tumaini lao naomba wanijibu maswali yafuatayo.
1. Je inashindikana vipi watu kufanya hivyo kama njia ya kutakatisha fedha kutoka nje? Rejea malalamiko ya Lisu mwaka 2024 kwamba...
Jumuiya ya madola ndio nini wapumbavu hao?.wakumbuke Tanzania ni nchi huru haipangiwi na kibaka yeyote awe wa ndani au wa nje.
Mwambieni huyo mfugo rasta na wenzake waache kutafutatafuta huruma kwa mashoga wa nje ya nchi.yeye alitaka kukinukisha apambane na hali yake.
HUU NDIO UDIKTETA KAMILI.
Iko wapi haki ya kujieleza!!!
Yaani watu wametoa tamko leo na wamefukuzwa leo,leo!!!
Hii sio sawa kabisa,tunahitaji kupewa haki ya kujieleza.
TOFAUTI YETU NA WAO IKO WAPI!!!
Nashangaa sana kwanini wanaharakati wanaoichafua Tanzania wanaishi Kenya. Je, nani anaowahifadhi na nani anaowafadhiri hao wanaharakati?
Je, huyo anayewafadhiri yeye ananufaika na nini na harakati hizo?
Je, mbona wanaharakati wa Kenya hawaishi Tanzania?
Je, Sheria zetu za jumuiya ya Afrika ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.