Putin's Puppet,
Huyo hawezi tena kuwa POTUS
Bora ukawa na hako kazee ikulu kuliko kutokuwa na Statesman,
Ilishatokea Tz,The Madman
Kwa kifupi huwezi kuwa na Rais Mwehu aongoze werevu,lilikuwa jambo la Muda tu
Kati ya kitu wazungu/Westerners wameshindwa na hawataweza kamwe ni kubadili mifumo ya maisha ya Waarabu/persians namna ya kuishi..
Hii hata Obama aliiongelea kwenye kitabu chake 'Dream from my father'
Hawa watu kuna makabila wanaamini ni uzao wa mitume and alike,ndio rahisi hata wao kuweza...
Wanawadiscourage wazamiaji wote ulimwenguni,we unawaza kwenda uk unajikuta Kigali kwa mwamba,dadeqi..
Na Mwamba anajua kunusa $,kaishalamba $130Mil,anasubiri waneng'eneke hukoo
Chamsingi ndugu jitoe kwenye huduma zao zote,songesha,sijui miito na makorokocho yote..
Hiyo kutuma tigo nadhani kuna lugha fulani ya biashara,wanadiskareji kutumia mtandao mwingine,so lazima wachaji ghali kidogo
Mimi huwa wananila pale matumizi bila bando,ila nimeshtukia siku hizi,
Nina uhakika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.