Wakiristo wa JF mkiona hivi mnaumia sana. Mlizoea kutudanganya wakati hakuna mitandao kama nyinyi ndio wasomi na wachapakazi pekee na wengine watu wa madrasa. Yaani mlikua kama USA kuidanganya dunia kwamba ndio jeshi lenye nguvu kabla ya vita vya Iran
Katika mafundisho ya Qur’an, Siku ya Hukumu (Yawm al-Qiyāmah) ni siku ya mwisho ambapo haki kamili ya Allah itadhihirika kwa ukamilifu usio na mfano. Moja ya hekima kubwa ya siku hii ni kuonyesha Al-‘Adl, yaani haki ya Allah iliyo kamili, isiyo na upendeleo wala kosa.
Allah anasema:
“Na...
Iran kagoma kabisa kuendeshwa na kuamrishwa na Trump.
Anataka haki kamili na sio vitisho.
Amegoma kwenda Karachi kuhudhuria mazungumzo ambayo marekani anamwakilisha Isreal.
Marekani anataka Iran na silaha yoyote huku yeye na Isreal wao wamiliki silaha.
Iran asiwe na mshirika lkn wao katka...
Mimi naamini haki ipo kwa Muumba siku ya hesabu, maana mdomo utazuiwa kusema, yatayosema ni macho, miguu, mikono, masikio na mdomo utasema pale utapotakiwa kusema, hapa duniani kila mmoja anapigania tumbo lake- MAONI YANGU HAYA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.