Licha ya kuharibiwa vibaya miji ya Telaviv na miji mengine. Idadi ya waliokufa Isreal tunaambiwa 5. Yaani hawa wana roho ya paka? Hata wapigwe mizinga miili yao inapangua?
Mimi BAKWATA naiona kama mzigo mzito kwa maendeleo ya waislam wa Tanzania. BAKWATA haina wala haina mpango wa kuwa na vyuo vikuu. Wanasahau jukumu wanaojijibesha la kuwatumikia waislam ni dhima kubwa kwa Allah
Kufuga mwanamke ni kujatafutia balaa. Kukaa na mwanamke kinyumba ni laana .
Njia pekee ni kuoa mke wa halali, hata ikitokea bahati amekudhuru basi utakuwa umekufa ktk haki.
Sio mwezi mtukufu wa ramadhani bado unafuga mwanamke.
Tusomeni dini yetu badala ya kufuata mkumbo wa dunia.
Wanawake wengi...
Tupeni habari kamili bila upendeleo.
Habari zenu zimegemea sana marekani na Isreal badala ya kutupa habari sahihi za vita. Mnatupa kauli za Trump na letanyahu huku kauli za Iran mnazitia kabitini na hamtaki kabisa washabiki wenu tuzisikie.
Mnatunyima fursa washabiki wenu
Tupeni taarifa za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.