Akili zero: kulikua kafiri mkubwa msomi mkubwa na tajiri mkubwa huko ulaya hapo mwanzo alikua na akili kama zako, lkn hivi sasa yupo makka anaabudu yaani kaingia ktk uislam
Mtaumia sana tu.
RAIS SAMIA
1. 2022 – University of Dar es Salaam (Tanzania)
Ametunukiwa Doctor of Laws (LLD Honoris Causa)
Sababu:
Uongozi bora wa taifa
Mageuzi ya uchumi na elimu
Kuimarisha diplomasia ya Tanzania
�
University of Dar es Salaam
2. 2023 – Jawaharlal Nehru University (India)...
Mwanamke Muislamu, kwa mtazamo wa wanazuoni wengi wa Kiislamu na madhehebu makuu, haruhusiwi kuolewa na mwanamume asiye Muislamu, awe Mkristo, Myahudi.
katika utamaduni wa Kiyahudi unaoonekana katika Biblia, siku ilihesabiwa kuanza jioni (baada ya jua kutua) na kuendelea hadi jioni inayofuata.
Msingi wake unatokana na simulizi la uumbaji:
"Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza."
— Mwanzo 1:5
Kauli hiyo ("jioni ... asubuhi") inajirudia...
Mungu alimwambia Musa:
"Vua viatu vyako miguuni mwako, maana mahali hapo unaposimama ni nchi takatifu."
— Kutoka 3:5
Yoshua mbele ya mkuu wa jeshi la Bwana
Yoshua aliambiwa:
"Vua kiatu chako mguuni mwako; kwa kuwa mahali hapo usimamapo ni patakatifu."
— Yoshua 5:15
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.