Recent content by Malaria 2

  1. M

    Ya Oktoba 29 ndio yashapita hayo

    Dah
  2. M

    Netanyahu kama Trump aomba mataifa duniani yaingie kati kupigana na Iran

    Mwaka huu wataiona dunia. Walidhani wao wameletwa duniani kuja kuua wengine?
  3. M

    Israel hawafi? Wana roho ya paka?

    Kwa hivyo 5 tu? Majeshi 3? Dah? Kumbe wanapukutika sana tu
  4. M

    Israel hawafi? Wana roho ya paka?

    Licha ya kuharibiwa vibaya miji ya Telaviv na miji mengine. Idadi ya waliokufa Isreal tunaambiwa 5. Yaani hawa wana roho ya paka? Hata wapigwe mizinga miili yao inapangua?
  5. M

    Bbc Swahili acheni upendeleo wa habari vita vya Iran

    Wewe hukukaribishwa pilau la waislam?
  6. M

    Bbc Swahili acheni upendeleo wa habari vita vya Iran

    Wapo upande wa haki. Iran anapigwa na nchi ambazo zimetoka kwao. Yeye anajilinda. Aljazeera.com ipo upande wanaojitetea na kulinda nchi yao
  7. M

    Kwanini unapenda Kusali misa ya kwanza?

    Tupe andiko wa maneno yako
  8. M

    Bakwata wanataka Haki na Amani au Wali?

    Mimi BAKWATA naiona kama mzigo mzito kwa maendeleo ya waislam wa Tanzania. BAKWATA haina wala haina mpango wa kuwa na vyuo vikuu. Wanasahau jukumu wanaojijibesha la kuwatumikia waislam ni dhima kubwa kwa Allah
  9. M

    Kifo cha Athumani Nyanza kinasikisha lkn kiwe funzo kwa vijana wa kiislamu

    Kufuga mwanamke ni kujatafutia balaa. Kukaa na mwanamke kinyumba ni laana . Njia pekee ni kuoa mke wa halali, hata ikitokea bahati amekudhuru basi utakuwa umekufa ktk haki. Sio mwezi mtukufu wa ramadhani bado unafuga mwanamke. Tusomeni dini yetu badala ya kufuata mkumbo wa dunia. Wanawake wengi...
  10. M

    Polisi wadai eti Rehema ndo alimuua Athumani Nyanza wa Ilala

    Mwezi mtukufu wa Ramadhani muislam mzima unafuga mwanamke, asikutoe roho akufanyaje?
  11. M

    Kwanini unapenda Kusali misa ya kwanza?

    Misa ipi yenye thawabu nyingi? Sisi waislam ukiswali kwa jamaa daraja linaengezeka. Jee nyinyi misaa ipi iliokua bora zaidi?
  12. M

    Bbc Swahili acheni upendeleo wa habari vita vya Iran

    Tupeni habari kamili bila upendeleo. Habari zenu zimegemea sana marekani na Isreal badala ya kutupa habari sahihi za vita. Mnatupa kauli za Trump na letanyahu huku kauli za Iran mnazitia kabitini na hamtaki kabisa washabiki wenu tuzisikie. Mnatunyima fursa washabiki wenu Tupeni taarifa za...
  13. M

    Mufti Mkuu Abubakar: Mkristo hawezi mfanyia fujo Muislam

    Katumia hekima tu kama kiongozi. Lkn ndugu zetu wakiristo wa jf wanachuki na uislam na waislam. Angalia vita vya mashariki ya kati
Back
Top Bottom