Recent content by Malaria 2

  1. M

    Wenje na Peter Msigwa hata ukuu wa wilaya tu hamjapewa

    Hii ni kampeni maalum ya kutaka wapewe vyeo?
  2. M

    PICHA: Huyu hapa mfanyakazi bora

    Ripoti ya chande CHADEMA umeikataa. Utaunganisha vipi?
  3. M

    PICHA: Huyu hapa mfanyakazi bora

    Tufate yepi?
  4. M

    PICHA: Huyu hapa mfanyakazi bora

    Wakiristo wa JF mkiona hivi mnaumia sana. Mlizoea kutudanganya wakati hakuna mitandao kama nyinyi ndio wasomi na wachapakazi pekee na wengine watu wa madrasa. Yaani mlikua kama USA kuidanganya dunia kwamba ndio jeshi lenye nguvu kabla ya vita vya Iran
  5. M

    Kansela wa Ujerumani Friedrich Merz anasema Iran inaidhalilisha Marekani

    Wakiristo wa jf wanachekesha sana kihoja
  6. M

    Ndio maana ikawekwa siku ya hukumu ili kutolewa haki zilizonyimwa duniani

    Kobaz tena? Kafiri vipi mbona umekasirika?
  7. M

    Ndio maana ikawekwa siku ya hukumu ili kutolewa haki zilizonyimwa duniani

    Katika mafundisho ya Qur’an, Siku ya Hukumu (Yawm al-Qiyāmah) ni siku ya mwisho ambapo haki kamili ya Allah itadhihirika kwa ukamilifu usio na mfano. Moja ya hekima kubwa ya siku hii ni kuonyesha Al-‘Adl, yaani haki ya Allah iliyo kamili, isiyo na upendeleo wala kosa. Allah anasema: “Na...
  8. M

    Yaani Marekani anachezewa hivi na Irani? Kweli hakuna marefu yasio na mwisho

    Ushawahi kusikia kuna nchi ametuma silaha kwa Iran kama ulivyosikia Ukraine?
  9. M

    Yaani Marekani anachezewa hivi na Irani? Kweli hakuna marefu yasio na mwisho

    Iran kagoma kabisa kuendeshwa na kuamrishwa na Trump. Anataka haki kamili na sio vitisho. Amegoma kwenda Karachi kuhudhuria mazungumzo ambayo marekani anamwakilisha Isreal. Marekani anataka Iran na silaha yoyote huku yeye na Isreal wao wamiliki silaha. Iran asiwe na mshirika lkn wao katka...
  10. M

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 yawasilisha ripoti leo Aprili 23, 2026

    Mimi naamini haki ipo kwa Muumba siku ya hesabu, maana mdomo utazuiwa kusema, yatayosema ni macho, miguu, mikono, masikio na mdomo utasema pale utapotakiwa kusema, hapa duniani kila mmoja anapigania tumbo lake- MAONI YANGU HAYA
Back
Top Bottom