Recent content by Malaria 2

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ubabe- Netanyahu kaulizwa vipi kama ICC ikimkamata?

    Mwambieni asife wala asizeeke
  2. M

    JamiiForums Tanzania Heche bado anaundiwa zengwe. Wazee feki wanaojifanya Wazee wa CHADEMA waandaliwa kumchafua

    Tz bara siasa ni mradi, Zanzibar siasa ni moyo
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mahakama ya Rufaa yatupilia Mbali Maombi ya DPP ya Kuongeza Ushahidi Katika Kesi ya Tundu Lissu

    Namkubali sana Lissu . Lissu ni hazina kubwa kwa taifa
  4. M

    JamiiForums Tanzania Maneno ya mwisho ya mwanajeshi mdogo wa Marekani, Angel Rampesard, kabla ya kifo chake

    Mwanawe Trump yupo hotelini ana enjoy. Huku watoto wa wengine wanapigwa
  5. M

    JamiiForums Tanzania Ninadhani hilo somo au module aliyokuwa anafundisha Kaijage ifutwe huko UDOM ili kuepusha taharuki baadae

    Unasema uliozoea kuona gaidi ni mwenye ndevu nyingi? Kwa mujibu wa media za magharibi na nchi za magharibi gaidi ni muislamu anaejitambua na kupigania haki zake. Lkn hivi sasa neno ugaidi limetanuka chadema wanaweza kukupa zaidi maana y ugaidi kwa sasa
  6. M

    JamiiForums Tanzania Peter Madeleka Aondoka Rasmi ACT-Wazalendo

    Wanasiasa wengi watz wanawafanya watz kama ngazi ya kujitafutia maisha yao.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Pascal Anthony: Heche ameleta Mpasuko ndani ya chama, tunajiandaa kufanya maandamano bila kikomo mpaka ajiuzulu

    Huu upuzi, pesa muhongwe nyinyi halafu mnataka watu muingize barabarani wakungeni mkono nyinyi
  8. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Sasa waziri wa mpira haingilii mpira? Anafanya kazi gani sasa?
  9. M

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Waziri wa mipira duniani kote ni wanasiasa
  10. M

    JamiiForums Tanzania Egypt, Turkey. Canada, Panama, United States, hawa wote kupita kwao lazima ulipe Tozo kwa nini Marekani hawataki Iran walipwe Tozo

    Hata dhahabu za Afrika ni kutoka kwa muumba wetu kwanini inamilikiwa na wachache na isiwe kwa wote?
  11. M

    JamiiForums Tanzania Tumkomoeni Heche

    Kuna watu humu wanasema Heche anatumia mbinu mbali mbali kukwamisha LISSU Asitoke ili kwa kuwa yeye anafaidika kisiasa Njia na nyepesi sana ni kumtoa Lissu mahabusu ili Heche asifaidike tena na aporomoke Kabisa kisiasa. Au njia nini ugumu wake?
  12. M

    JamiiForums Tanzania Mhadhiri UDOM aliyepewa dhamana na Mahakama, sasa apewa shitaka la ugaidi, ahamishiwa Gereza la Isanga

    Sio dunia, ni watu, ndio maana sisi waislam tunaamini baada ya kufa sote tutakusanywa pamoja ili tuhukumiwe tuliofanyiana duniani
  13. M

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Inasikitisha sana, yaani wanahamasisha Vijana watoe pesa walizonazo wawapatie pesa wao waweke mifukoni mwao

    Kweli. Lkn hata ccm ndio hivyo , kikubwa patungwe sheria jinsj ya vyama vya siasa au wanasiasa kuchangisha pesa wakati ba baada ya kampeni.
  14. M

    JamiiForums Tanzania ICC yakunjua Makucha, Waliohamasisha Vurugu Mo 29 Wakiwemo Wanaharakati Matumbo Joto.Hati ya Mashtaka Yawasilishwa

    Cdm wanashatakiwa ICC. Hii mtoto mdogo std 4 anaweza asikubali
Back
Top Bottom