Hivi mnaijua mvua ama mnaongea tu? c wote wenye magari na nyumba nzuri wamevipata kwa njia icyo halali. Unapo dzn kituj kuna mambo mengi huangaliwa. Mf. Jografia ya eneo husika, uwezo wa daraja lenyewe kupitisha maji na kuhimili kubeba uzito gani.ila kuna muda hutokea mvua hunyesha kupita...
Nionavyo mm ni heri ya kuwa na serikali 1 yenye nguvu kuliko s. 2 ama 3. Kwann napendekeza s.1 ? Kwanza gharama uendeshaji w s. Zitapungua, Rais 1, wazir mkuu na hata baraza la mawazir litapungua. Nashindwa kuelewa kwann s.1 haikupewa kipaumbele. Unajua kwa serikali 2 lazima kuna upande ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.