Habari wana jukwaa
Natafuta chumba cha kupanga, maeneo ya Kimara, Buguruni, Magomeni au eneo lolote lisilo na Foleni ya Kwenda Muhimbili National Hospital(gari moja)
Kiwe kizuri, ikiwezekana na Picha nione, bei isiwe ya kutisha.
Kuhusu kunyonyesha, Maziwa ya mama yapo katika stage 3.
Ya mwanzo_yana maji mengi zaidi ya virutubisho
ya katikati- yana virutubisho vingi
ya mwisho-ni mazito na yana mafuta kwa wingi
Mwambie mama amnyonyeshe mtoto hadi maziwa ya mwisho mtoto ayapate ndipo ambadilishie Ziwa la pili
Kingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.