Recent content by Malaki

  1. Malaki

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya kiwanda cha Namera Gongo la mboto ni mbovu sana

    Barabara ya kiwanda cha namera kuelekea Ulongoni B kipande kidogo sana lakini wahusika hawakitilii mkazo wana weka vifusi vinakaa mpaka watu wakujitolea wasambaze. Mvua zimenyesha sasa imekua kero kubwa sana.
  2. Malaki

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Barabara mbovu sana kiwanda cha Namela njia ya Ulongoni

    Wametengeneza tayari
  3. Malaki

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Barabara mbovu sana kiwanda cha Namela njia ya Ulongoni

    Njia ya kuingia kutoka G/mboto kwenda ulingoni kwa Gari ni njia moja tu ambayo hiyo ndo inategemewa na magari makubwa na daladala za kwenda kinyerezi, mbezi.Hii barabara mbovu sana na imekua hivo kwa muda wa miaka 3 sasa na toka walivoondoka wakandarasi waliokua wanajenga reli ya SGR Pale pugu...
  4. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta kioo cha S9 au full cover nyuma na mbele
  5. Malaki

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye Charger ya PC MacBook

    weka mawasiliano ninayo
  6. Malaki

    JamiiForums Tanzania Fursa iliyojificha kati kati ya utapeli

    Hasa, makampuni ya kubet yamekua mengi na matangazo radio yamekua kero na hii ya kalynda naona watu sijui wameshapigwa huko twtter wengi naona walijiunga. All in all vijana tuchakalike na tusichague kazi
  7. Malaki

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutengeneza blog au tovuti

    Nimeingia nimeona mpaka ni pay kwanza ndo inaendelea na process zingine
  8. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wanahitajika watu watakokuwa Partnership na NGO

    Wanahitajika watu watakokuwa Partnership na NGO iliyokamilika na usajili kila kitu inahitaji watu wafuatao Progam manager Relationship& marketing manger -mwenye uzoefu na Ngo katika Funds & Sponsors manager 0757666771
  9. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Nimekutumia no
  10. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Imeshuka 164,000 njoo haraka ipo Dar utajaribu kila kitu ndo unalipa yaan hata ukae nayo siku ndo ulipe sawa
  11. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Njoo mnipe pesa hii
  12. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina simu nyingine ya kutumia laini 2
  13. Malaki

    JamiiForums Tanzania Mwenye shida ya ela ya sikukuu..njoo uniuzie smartphone..kuna 120000 hapa haina kazi

    Ongeza pesa nikupe I phone 6s plus , 16gb 100% battery haina tatizo lolote kwa 190,000 nile pasaka simu ndo hii natumia hapa
  14. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    I Phone 6s plus 16 GB Gold color I D touch iko poa Betri 100% full Haina tatizo wala crack Bei 190,000 Inapokea bado new update ya IOS
  15. Malaki

    JamiiForums Tanzania Wauza smartphone tukutane hapa

    I phone 6s plus new Gold Gb 16 Ios 14.7 Touch id -yes Bei- 250,000 cash
Back
Top Bottom