Recent content by Malaki

  1. Malaki

    KERO Responded Barabara mbovu sana kiwanda cha Namela njia ya Ulongoni

    Njia ya kuingia kutoka G/mboto kwenda ulingoni kwa Gari ni njia moja tu ambayo hiyo ndo inategemewa na magari makubwa na daladala za kwenda kinyerezi, mbezi.Hii barabara mbovu sana na imekua hivo kwa muda wa miaka 3 sasa na toka walivoondoka wakandarasi waliokua wanajenga reli ya SGR Pale pugu...
  2. Malaki

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Natafuta kioo cha S9 au full cover nyuma na mbele
  3. Malaki

    Msaada mwenye Charger ya PC MacBook

    weka mawasiliano ninayo
  4. Malaki

    Fursa iliyojificha kati kati ya utapeli

    Hasa, makampuni ya kubet yamekua mengi na matangazo radio yamekua kero na hii ya kalynda naona watu sijui wameshapigwa huko twtter wengi naona walijiunga. All in all vijana tuchakalike na tusichague kazi
  5. Malaki

    Jinsi ya kutengeneza blog au tovuti

    Nimeingia nimeona mpaka ni pay kwanza ndo inaendelea na process zingine
  6. Malaki

    Wanahitajika watu watakokuwa Partnership na NGO

    Wanahitajika watu watakokuwa Partnership na NGO iliyokamilika na usajili kila kitu inahitaji watu wafuatao Progam manager Relationship& marketing manger -mwenye uzoefu na Ngo katika Funds & Sponsors manager 0757666771
  7. Malaki

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nimekutumia no
  8. Malaki

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Imeshuka 164,000 njoo haraka ipo Dar utajaribu kila kitu ndo unalipa yaan hata ukae nayo siku ndo ulipe sawa
  9. Malaki

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Njoo mnipe pesa hii
  10. Malaki

    Wauza smartphone tukutane hapa

    Nina simu nyingine ya kutumia laini 2
  11. Malaki

    Mwenye shida ya ela ya sikukuu..njoo uniuzie smartphone..kuna 120000 hapa haina kazi

    Ongeza pesa nikupe I phone 6s plus , 16gb 100% battery haina tatizo lolote kwa 190,000 nile pasaka simu ndo hii natumia hapa
  12. Malaki

    Wauza smartphone tukutane hapa

    I Phone 6s plus 16 GB Gold color I D touch iko poa Betri 100% full Haina tatizo wala crack Bei 190,000 Inapokea bado new update ya IOS
  13. Malaki

    Wauza smartphone tukutane hapa

    I phone 6s plus new Gold Gb 16 Ios 14.7 Touch id -yes Bei- 250,000 cash
  14. Malaki

    INAUZWA Azam TV Decorder full set, iko Kiwalani-Dar

    Kinga'amuzi chochote unachonunua lazima kiwe na ofa ya kifurushi Cha mwezi na Azam hiyo ndo Bei yake halisi 135 k kipya bila ufundi
Back
Top Bottom