Njia ya kuingia kutoka G/mboto kwenda ulingoni kwa Gari ni njia moja tu ambayo hiyo ndo inategemewa na magari makubwa na daladala za kwenda kinyerezi, mbezi.Hii barabara mbovu sana na imekua hivo kwa muda wa miaka 3 sasa na toka walivoondoka wakandarasi waliokua wanajenga reli ya SGR Pale pugu...
Hasa, makampuni ya kubet yamekua mengi na matangazo radio yamekua kero na hii ya kalynda naona watu sijui wameshapigwa huko twtter wengi naona walijiunga.
All in all vijana tuchakalike na tusichague kazi
Wanahitajika watu watakokuwa Partnership na NGO iliyokamilika na usajili kila kitu inahitaji watu wafuatao
Progam manager
Relationship& marketing manger
-mwenye uzoefu na Ngo katika Funds & Sponsors manager
0757666771
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.