Recent content by malaga

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ushauri wa Bure Kwa Hon Dr. Harison Mwakyembe (Mb)-Kwa Hili la Richmond!, Bora Ujikalie Kimya!

    Mwanadam anaaminiwa na kusikilizwa Kwa historia yake sisi wananchi wa kawaida tuangalie historia zao akina Mwakyembe na Lowasa tangu wameingia serikalini yupi amelipatia taifa faida tusiweke chuki fitina na majungu
  2. M

    JamiiForums Tanzania Ikiwa Lowassa ni Mwizi na Fisadi, Iweje Watu Hawa Wenye Heshima Wamuunge Mkono?

    Rais wetu kipindi kile alikuwa mvumilivu kama mtakumbuka mwaka 1995 miaka kumi baadae akawa Rais hata Lowasa alijiuzuru bila kumtukana MTU wala kumkashifu mtu na kukaa kimya lakini miaka mingi baadae ukweli unajitenga na uongo Kwa hiyo akiwa Rais October hakuna wa kushangaa
  3. M

    JamiiForums Tanzania JK atoa maneno ya kinabii jana

    swali je yupo anae kubalika na wengi ndani ya Ccm na nje zaidi ya Lowasa? tujibu bila jazba
  4. M

    JamiiForums Tanzania Lowassa kuongea na Wananchi 14/05/2015 kupitia Clouds FM

    kila Mtanzania ana haki ya kugombea uongozi kama hafai wanao mchagua ndio watamuhukumu kwa kutomchagua na Mh Lowasa ana haki hiyo kwa hiyo apewe nafasi ya kusikilizwa na watu waamue inaonekana wengi wanazungumza mambo wasio yajua maana majungu na ukweli vitajitenga siku moja
  5. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Kimei wa CRDB: Kuporomoka kwa shilingi kuna faida kubwa kwa Watanzania

    Tujaribu kuwasikiliza wataalam sema nao shida yao wanazungumza shortcut mwisho Wa siku hawaeleweki
  6. M

    JamiiForums Tanzania Naziona dalili za CCM kutoka madarakani kwa shinikizo la UN

    amen waondoke hao ndio chanzo cha umaskini wa watanzania wa kipato cha chini ambao ndio wengi
  7. M

    JamiiForums Tanzania Mbona jitihada anazotifanya sasa kiongozi mkuu Zitto, hatukuziona wakati akiwa CHADEMA

    Anawaza Urais na uenyekiti tu
Back
Top Bottom