Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 22,827
- 27,616
Jana mwenyekiti wetu WA chama alitoa dondoo chache na safi kabisa za kinabii,manabii wengi hutoa maneno ambayo wakati mwingine huwa tata au kuyatafakari na kuyaelewa huwa ni kizungumkuti! kwani kuna ambao watayaelewa na baadhi hatayaelewa ili mradi unabii utimie !/
chama kiache mazoea ya awali na kisimame na kujitafakari kichague mtu ambaye labda tunaweza mwita "energy server" atakaye ipunguzia ccm shurba na maangaiko yasiyo ya msingi,atakaye kiletea chama ushindi kirahisi bila shurba namwamini jembe "kinana" naana mahangaiko aliyaona aliyagusa anayatambua/
chama kiache mazoea ya awali na kisimame na kujitafakari kichague mtu ambaye labda tunaweza mwita "energy server" atakaye ipunguzia ccm shurba na maangaiko yasiyo ya msingi,atakaye kiletea chama ushindi kirahisi bila shurba namwamini jembe "kinana" naana mahangaiko aliyaona aliyagusa anayatambua/