chief usinikasirikie.Mambo mengi. Hata hivyo makala hii haikuwa na maudhui ya kuuza nguruwe.
1. Hatuna wanyama wa umri huo katika bidhaa zetu
2.Kwa mahitaji ya bidhaa zetu zozote wasiliana nasi kwa namba tulizoweka kwenye makala
🤝
Nyama ya nguruwe inaliwa na sehemu zote duniani na katika nchi ambazo zinaongoza kwa watu kuishi miaka mingi duniani kama Japan na Korea Kusini. Nyama ya nguruwe ni ya pili duniani kwa kupendwa na kuliwa na watu wengi duniani . Waweza ona data hapa kwenye internet zipo nyingi mfano hapa...
Habarini za mwaka mpya wana Jf!
Baada ya muda mrefu kuto post makala humu (nimekuwa busy kwenye media zingine kama instagram, utube,whatsap,telegram..),acha leo nichangie kidogo maana nimeona post nyingi kuhusu ufugaji nguruwe zenye mapungufu. Wakongwe wa Jf watanikumbuka maana nime post sana...
Habarini za mwaka mpya wana Jf!
Baada ya muda mrefu kuto post makala humu (nimekuwa busy kwenye media zingine kama instagram, utube,whatsap,telegram..),acha leo nichangie kidogo maana nimeona post nyingi kuhusu ufugaji nguruwe zenye mapungufu. Wakongwe wa Jf watanikumbuka maana nime post sana...
Siku nyingine kabla ya kuanza biashara hakikisha una soko yaani unajua pa kuuza.
Dar kuna machinjio nyingi za nguruwe anzia huko.Pia instagram wanaofanya biashara za nyama wapo wengi na kurasa zao.
waweza wasiliana nasi tukupe connection
Ukuaji unategemea aina ya mbegu na matunzo(tiba,lishe,mabanda). Labda ungepiga picha ukaonyesha usaidiwe. Waweza wasiliana nasi pia kwa ushauri zaidi 0789412904
Mmekaa,mnajaribu kusumbuka na mtu ambae yupo frustrated na kama walivyo wengi kajaribu kutafuta wa kumlaumu. Mungu halaumiwi na wala uwezo wake hauwezi chunguzwa.
Kuna kipindi alisema waache wapumbavu waendelee na upumbavu wao. Kuna kipindi wana wa Israel aliwaacha waendelee na njia zao. Na pale...
Ni sawa.Nilikuwa nna maanisha unawauza wakiwa na umri gani na uzito gani!!
Ila nimekuelewa;kwenu haijalishi umri wala uzito wa mnyama;yawezekana pia haijarishi ni gharama kiasi gani umetumia kuwalea hao nguruwe🤭.Hao jamaa wakija bandani wakachagua na mkaelewana basi wanachukua😊🤔!Nadhani namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.