NAOMBA NIINGIE KWENYE MAADA MOJA KWA MOJA: Jamani nani asiyejua kama zitto ndio chanzo cha vijana wengi kupenda siasa ndani ya nchi yetu, Nani asiyejua kuwa mafisadi wakisikia jina la zitto presha inapanda wakijua zao zimefika. Niliwahi kukaa na rafiki...
Hivi ndivyo vilivyo sababisha Tanzania kutengwa na KENYA, UGANDA na RWANDA zipo sababu nyingi but hizi ni kuu kwa mtazamo wangu;
Kwanza ushindani kati ya bandari ya Dar na ile ya Mombasa.
Pili upatikanaji wa mafuta na gesi ya kutosha TZ wakati UGANDA...
Inanisikitisha sana kuona vijana wengi wa cdm tunashindwa kufanya siasa safi kwa kudanganywa na ccm, niaibu kubwa sana kwa kijana msomi kudanganyika kwa mbinu chafu za ccm na kuamini eti mwiba mchungu kwa ccm ambao unawachoma kila siku eti ni mfasi wao ukiuliza kwa nini eti kisa wana ccm...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.