Ni wiki sasa NMB iringa mjini wanatusumbua wateja hawaweki hela ATM zote,mpk uingie ndani meneja haeleweki yaan usiombee uwe hauna hela cash alaf unategemea utoe hela hapa,utalia siku tatu no services wala jibu la maana
Labda watuchangishe kimya kimya kwa kutupandishia vitu bei km vile umeme,maji bidhaa za madukani au watumie mbinu km ya makampuni ya simu wanavyo tuibia
Jamani tige na Veda ni wezi sana sometimes wanakuunganisha na Huduma ambayo ukiingiza vocha wanalima hela ukiwapigia wanazingua ndio maana nimehamia SMART
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.