Baada ya Nyerere kumrejeshea Askari wake waliokua wametekwa bila masharti.
Gadafi alimeaga mafuta na lami kwa wingi hapa Tanzania Kama shukrani.
Nadhani hakutarajia kitu kama hicho.
Siku zote Waislam tunatakiwa tusimame upande wa haki.
Imesemwa upande wa HAKI haijasemwa upande wa WAISLAMU.
Wewe ukiwa Jaji au Shahidi Muislamu unapohukumu au kutoa ushahidi, angalia haki iko upande gani bila kujali dini yako na anaehukumiwa au kutolewa ushahidi.
Tawi la chuo Cha Mwalimu Nyerere lipo Bububu.
Dr John Pombe Magufuli Secondary School ipo Mwanakwerekwe.
Mkapa Road inapita Uwanja wa Amaan kuelekea Mtoni Kidatu.
Naikumbuka hii ya 1982 ilinisikitisha sana kwa figisu walizofanyiwa Yanga kule Misri.
Mpaka half time ubao 0-0
Dakika ya 11 kipindi cha pili Omar Hussein (Keegan) anaweka chuma refa anakataa.
Waarabu wakaona isiwe tabu hawa ni kuwatoa mchezoni tu basi. Na kweli mashabiki wakaanza vimbwanga vyao...
Hupo pot 2 wa kundi B ataambulia jumla ya alama tatu tu atakazozipata katika uwanja wake wa nyumbani na kujikuta ni wa mwisho kwenye kundi lake.
Atakua amekufa KIUME kweli kweli safari hii.
Ngumu sana hii kutokana historia ya huko nyuma.
Viongozi wa Simba ni wanafiki wanaweza kukubaliana na wenzao baadae wakawasaliti.
Case study ipo.
Viongozi wa Yanga na Simba walikubaliana wasipeleke timu za o kwenye mchezo wa kumtafuta mshindi wa tatu wa KAGAME CUP baada ya ombi lao la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.