Katika kampeni za mwaka Jana si kuna wapiga kampeni kutoka upande mmoja wakiongozwa na mwenye kijiti aliyetuacha wa kijani kuwa sirikali imejenga kiwanda cha cement na kitatoa ajira na kuondoa/kupunguza uhaba wa ajira Mtrwr na mikoa ya kusini,
Imekuwaje tena?
Tiiz of industries?????
Kwa mkazi wa Arusha anayehitaji nymba ya kupanga maeneo ya Engosheratoni,
Vyumba viwili,jiko na choo ni vya nje,
Umeme ni wa solar,Maji yapo karibu tu na hapo nyumbani,
Bei ni maelewano,
Tuwasiliane 0712-490178
Tatizo ni mazingira magumu,madarasa yameezekwa kwa nyasi na siyo madarasa haswa ila miti imesimamishwa zikawekwa nyasi tu,hakuna madawati ya kutosha,hakuna nyumba za walimu,walimu na wanafunzi wanatembea umbali mrefu na wanakutana na wanyama kama tembo na wanyama wakali,hivyo hakuna Mwl...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.