Recent content by Makusaro ndetengo

  1. M

    JKT watangaza nafasi za kujitolea

    SIKILIZEN Usikilize moyo wako na utayari wako nafasi hii ya jkt ni ya kujitolea lkn ajira zitakukuta humo cha msingi uwe mvumilivu na utayari ukijua kwamba unaenda kupigania taifa lako ...nimepitia comments zote humu lakini sijashangaa kukutana na maswali km hayo sababu bdo hamjaingia...
  2. M

    nilihama chumba lkn wapi

    Jamani anayefahamu dawa au sumu inayomaliza kabisa mende aniambie hawa mifugo kwangu wamekua kero napuliza dawa lkn hawafi ndio sanazid kunenepa na kuzaliana kwa wingi. DAWA IPI AU SUMU GANI NI BOMBA AU NITUMIE NN?
  3. M

    Msaada wa kisheria kwa wnafunzi hawa. WAMESHATESEKA VYA KUTOSHA

    kumbuka c wote wamefoji kwa kupenda bt wengine wamfanyiwa na rafiki zao wa karibu
  4. M

    Nimekuja

    Napenda kutumia fursa hii kuwasalimu wana jamii wote na kuwapongeza kwa kazi nzuri mnayofanya kwa kweli ni mchango mkubwa ktk kuendeleza taifa letu. Kwa mda mrefu nilikua nikifuatilia jf kama mgeni lakini sasa ni wakati wa kujumuika pamoja nanyi. AHSANTENI MBARIKIWE SANA
  5. M

    Wafanye nini?

    kwa wale wanaotaka kurefusha uume bila kutumia madawa ya kemikali watumie njia zp? ili kurejesha heshima ya ndoa? Msaada plz
  6. M

    Msaada wa kisheria kwa wnafunzi hawa. WAMESHATESEKA VYA KUTOSHA

    Kuna taasisi moja inayohusika na elimu ya juu hpa dar-es-salaam imewafukuza wanafunzi 45 kwa kosa la kufoji risiti za ada.Ni kweli makosa haya yalifanyika lakini taratibu za kumfukuza mwanafunzi hazikufuatwa kam student handbook inavyosema pamoja na university charter ya taasisi hiyo. Kabla ya...
Back
Top Bottom