Huwa natamani sana kujua elimu ya huyu Msukuma....na napata sana tabu kuamini kama ni mbunge au lah. Kuna kipindi alisema Lowassa kajinyea jukwaani sasa hivi anachokiongea ni vituko zaidi,anyways shule acha iitwe shule ni muhimu sana
Mimi binafsi sikumuelewa kabisa spika niliona kama karukwa na fahamu,we unyama wooote ule unaowafanyia wapinzani bado unathubutu kuja kulalamika bungeni wamekususia futari??what do you expect??uliwaona wapinzani mafal.a kuwa unaweza kuwanyanyasa na bado ukawaita wakaja??pole sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.