Habari zenu magwiji wa kilimo!
Wakuu mwaka jana {2020} nililima ufuta ekari 12 Katika wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga, kwa bahati mbaya mvua zilizidi sana kuliko kawaida na kufanya ufuta kuwa mrefu sana, hivyo haukuweza kuzaa vizuri nikaambulia gunia moja moja kwa kila ekari sawa na gunia 13 za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.