Recent content by Makungu jr

  1. Makungu jr

    Kilimo cha vitunguu (saumu na maji): Ushauri na Masoko

    Habari zenu magwiji wa kilimo! Wakuu mwaka jana {2020} nililima ufuta ekari 12 Katika wilaya ya Handeni mkoa wa Tanga, kwa bahati mbaya mvua zilizidi sana kuliko kawaida na kufanya ufuta kuwa mrefu sana, hivyo haukuweza kuzaa vizuri nikaambulia gunia moja moja kwa kila ekari sawa na gunia 13 za...
  2. Makungu jr

    Utambulisho

    ahsante sana.
  3. Makungu jr

    Utambulisho

    Habari zenu wapendwa, mi ni mtu mwanaume, ni raia mwema wa Tanzania ni mgeni katika mtandao huu naomba nitambulishe uwepo wangu hapa, Ahsanteni sana!
Back
Top Bottom