Habari ya sasa... kichwa cha habari hapo juu chahusika.
Nimechaguguliwa bachelor of science in psychology and counseling, kama utaenda kujiunga hapo mwaka huu na huna hata mtu wa kupanga nae chumba kam wataka kufanya hivyo. Jinsia ni wakiume tabia tutajuana tu
Ni pm tusaidiane tunaweza...
Dah hayo majibu yako noma... Eti scholarship siyo rahisi kupata bingo. Kwani we uliombea ukiwa wapi? Na hata km mwenzako yupo kantalamba ndo uoneshe iyo dharau?
Tuje jkt mara ngapi? Tumepitia uko tayari na icho cheo ulichonacho kwa sasa ndili nilichonacho... wenyewe walijua kwamb kuna SM ambao wapo kitaa or hata chuo na ndo maana wakaamua kututangazia na uku mkuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.