Recent content by Makuli

  1. Makuli

    Spika Ndugai, Pascal Mayalla alijiandaa. Kasome upya makala,utaadhirika...

    Duuuuu bunch of fool... Haya mambo ya kuongoza watu yanahitaji busara na upeo mkubwa.. Kabla sijasoma comments nilimuona spika yupo sahihi kumbe ni pumba tuuu
  2. Makuli

    Magufuli ndie Rais bora Afrika na Duniani

    Njaa zako ndo zinakusumbua ili ujikombe 1. Thamani ipi unaizungumzia nilipo mimi maji, barabara, elimu bado ni kero au utumishi wa umma upi?? 2. Ufisadi upi natunawaona mafisadi yana peta 3.Viwanda au vi-wonder 4.hizo flyovers, standard gauge bado hazijakamilika so piga kimya 5.Hii elimu...
  3. Makuli

    CCM imechanganyikiwa?

    Wewe nawe umechanganyikiwa ni wakuonewa huruma hujui sio Kila Raisi ni raisi wengine madikteta na wakiuka sheria sio WA kuchekewa Ni wakupingwa na kila mwananchi
  4. Makuli

    Tumpigie Rais Magufuli kura ili apate tuzo ya kiongozi bora barani Afrika 2017

    Mmhhh sio kura Za dikteta Bora hizi maana kingereza kinanchang'anya
  5. Makuli

    Salamu za mwaka mpya kutoka kwa Rais Magufuli

    Mzee umeshindwa kuomba ushauri Kwa j. K mbona vyuma Bado vimeng'ang'ania.... Au Ndo tuishi Kama mashetani... Ngoja tuone 2018 itakuwaje
  6. Makuli

    Kakobe: Ninaposema mimi ni Tajiri namaanisha tajiri wa Kiroho

    Hata Kama kaogopa ujumbe Ushapenya baki kujifariji na kuendekeza tumbo. Unamacho huoni unamasikio husikii
  7. Makuli

    Ujumbe kwa makada wote wa CCM wanaomkashifu Askofu Zakaria Kakobe na maneno yake

    Sauti Ya kinabii inamuonya lakini kiburi cha madaraka kitamponza daily kupimana mkojo na kuhojiana uraia huku wachumia tumbo na Lumumba buku 7 wakipiga vinubi na kufurahia.wana macho hawaoni, wana manasikio Hawasikii
  8. Makuli

    Uchumi mbovu, hali za maisha mbaya; Huku Magufuli anapendwa hakuna mfano

    Sio wazee Wote wanabusara Hata wapuuzi na machizi wanazeeka.
  9. Makuli

    CCM imechanganyikiwa?

    mshana jr Tungepata waonyaji na wakemeaji wa huu uhuni ingependeza haiwezekani mtu mmoja apeleke nchi jinsi anavyotaka Hata Kama kakosea asikosolewe hii sio fair. Ila akumbuke atawadanganya Watu Wote ila sio Siku zote. Ajifunze Kwa Mugabe Ipo Siku udhalimu utafika mwisho. Kila mtu anaogopa yy...
  10. Makuli

    CCM ndio iliyoleta umaskini Tanzania

    Kwani tulishakuwa na utajiri ili Walete umaskini
  11. Makuli

    Zuio la mikutano ya vyama vya siasa kwanini vyama vya siasa havimwandikii barua msajili awajibu?

    hawa wanasiasa wetu Uwezo Mdogo lipumba kang'any'ania uenyekiti mpaka Leo Kwa sababu Kama hizi hizi weka kimaandish
  12. Makuli

    Mambo ambayo Rais Magufuli ameshindwa mpaka sasa (2015-2017)

    Hapo kwenye dini toa uthibitisho kuwa waumini wanadanganywa lasivyo tunamuachia aliye juu THE Almighty God.
  13. Makuli

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Maalumu Kwa wapenda Likes
Back
Top Bottom