Recent content by makuku1637

  1. M

    Mr Fahami wa ACT: Viti maalum ni mzigo kwa Taifa

    njia rahisi ni kuchagua wanawake kwa wingi kwani kwa mfumo wa bunge letu hakuna tofauti wanapoingia bungeni wanafikiri kama mtu yuleyule, elimu ileile na kupinga kwa nguvu zote uwingi wa majimbo. Tutafute njia nyingine ya mgawanyo wa majibo kuna majimbo hayastahili kuwa jimbo, tuanze kupunguza...
  2. M

    Wazungu wanawalaumu Jews kwa ugaidi unaoendelea kwa sasa.

    Silence is the best option if you have nothing to urgue Huu nI ujinga cku Moja utaelimika
  3. M

    NSSF tunataka majibu ya tuhuma kuhusu 'udini'

    hujiamini, huna hoja na hufai katika jamii ya kistaarabu, nina wasiwasi na ufahamu wako
  4. M

    Morogoro: Watu 9 wakamatwa Msikitini wakiwa na vifaa vya mlipuko

    Ni visa vya makufari hawatakuwa radhi nanyi mpaka mfuate mila zao hamkufuata mila zao na haya ndio matokeo. subira na kumtegemea Allah ndio kilichobaki kwenu.
  5. M

    CWT: NHC haitufai kwa lolote

    Nchi yangu Tanzania nakupenda. tuna wasomi wa kutosha, lakini najiuliza hivi kweli usomi wetu unatusaidia. kuna relation kati ya umasikini na usomi, tunategemea kwenye wasomi level ya umasikini iwe chini. msomi ni lazima apange mambo yake hata miaka 100 ijayo. nalishangaa shilika la nyumba 10-50...
  6. M

    Mbowe atangaza Vita na Zitto katika Vikao vya ndani vya Chama

    hivi jamani tuko makini kweli sampuli ya mbowe na silaa watuongoze? acha tu ccm waendelee kutuongoza kuliko samuli hii ya kina slaa na mbowe hata ka issue kadogo wameshindwa kukahandle simply ubinafsi na uroho wa madaraka je watawezo kuhimili nchi kubwa kama hii?. nilikua natafuta amani lkn kwa...
  7. M

    Katuni niliyoipenda: Chama kimoja, tune moja ila uchezaji tofauti

    subirini viti maalum:flypig:
  8. M

    Mgomo wa wafanyabiashara nchi nzima kesho

    achaneni na majungu biashara ni yako suala la kuanza kukusanyana na kutaka kugoma is a rubbissh kama unaona biashara hailipi close your shop na kafanye mambo mengine yatakayokufaisha kuliko kutuletea vurugu. mkitaka kuona mnafanya ujinga acheni vibanda vyenu uone watanzania wengine watiifu...
  9. M

    Majina 403 ya wauza unga yaanikwa: Ni Watanzania waliokamatwa ughaibuni

    jidanganye tu uone uko peponi hapa duniani, usifikiri kuwa kafiri ni mafanikio, hujajitambua na kamwe hutajitambua till you die. ni neema kuwa muislam na dunia ni ni mapito tu we have a long jouney brother. endelea kujenga chuki time will tell
  10. M

    Serikali inawadhihaki wafanyakazi!

    Ebu acheni unafiki mmelazimishwa Kuwa walimu? Mbona kuna walimu tena wa primary wanalipwa zaidi ya 1.5mill? Kwanini mnaasume walimu wote wanalipwa 300,000? Jeendelezeni mpande vyeo au tafuteni kazi zingine zinazolipa lkn kuchukua mshahara bila kazi ni Zambi kubwa zaidi ya ufisadi. Kumbukeni...
  11. M

    Kufuatia mgomo wa mashine,Arusha napo wafunga maduka muda huu

    achana nao wafanyabiashara wasiojitambua. TRA & GVT MUST FAME IN ITS DECISION. Commisioner nyang"anya hawa watu leseni tupo wajasiliamali wachanga na tuko tayari kutumia EFD, A GREAT OPPORTUNITY!!!!!!:flypig:
  12. M

    EFD: Mgomo wa wafanyabiashara Mwanza kuunga wa Dsm

    waache kutuzingua mfanyabiashara mwenye akili timamu hawezi kuacha kufungua duka eti hataki efd. tatizo la nchi hii ni wafanya biashara wengi shule hakuna wachache wenye shule wanaokwepa kodi wanawaburuza wengi wenye shule ndogo. ila kumbukeni historia ya luku huko south africa, nanyi efd...
  13. M

    EFD: Wafanyabiashara mkoa wa Iringa wagoma kufungua maduka

    waambiwe mob ni mjinga, maob hana busara waache ujinga wafungue maduka walipe kodi wajenge nchi
Back
Top Bottom