Nimependa sana wazo lako...hii kazi hata mimi nimeshaifanya sana...nilisafiri majuzi toka Dsm to Mwanza nilomuonhea Lowassa ninayemjua nazani nilivuna watu wakitosha...nipo Mwanza naendelea kuhubiri Lowassa...mpaka mwezi huu uishe nitakiwa na watu zaidi ya 50 naomba na wewe mwenzangu fanya ili...
Startv inamilikiwa na Diallo aliye kambi ya Membe. ..hawezi tangaza habari za Ukawa/Chadema...ovyo kbs huyu janaaa...ila vyombo vya habari vipo vipi ni kususia kuitazama hii tv
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.