Huo ndio ukweli elisheni watu hasa vijana na wakina mama ili tuweze kutengeneza foundation ili tuweze kushinda uchaguzi mkuu.
Pili wabunge wenu wa sasa watembelee wadau hata kwenye vijiwe ili kuwainspire mapema watu na sio zima moto.
ushauri wangu bwana mnyika wanaukawa! Sasa kazi ianze upya ili kuelekea ukombozi wa kweli! Fuata yafuatayo;
1.ukawa teua mgombea utais mmoja na hasa james mbatia.
2.gawana kanda zote tanzania kwa mchanganyiko wa nyama vinavyounda ukawa na mtengeneze kambi rasmi ya kudumu kila kanda na bila...
CCM yenyewe inajua unapokuwa na wabunge mbumbu kama alimpinga mwanasheria mkuu mzalendo. Hata kwa kumwangalia tu unajua kichwani hamna kitu. Eti anasema kukataa anajiona kasoma! Kweli kasoma ndio maana ni mwanasheria mkuu. Wao walizani yeye ni mamluki kama wao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.