Kamanda edwadi sijaona mwinamila ametekereza ahadi zake kwa kasi ya maajabu barabara zote kolofi za kata ya muleba mjini amezitengeneza tunampongeza kwa kazi nzuli
Kamanda sijaona diwani wa kata ya muleba anaendelea kutekeleza ahadi zake kwa kasi ya maajabu barabara zote korofi za kata ya muleba mjini amezitengeneza tuna kupongeza diwani wetu
Kutokana na kuendesha chama kwa ubabe mpaka kuperekea chama kushindwa vibaya kwenye uchaguzi mkuu wakati uwezekano wa kushinda madiwani na ubunge wakati uchaguzi wa serikali za mitaa chadema ilishinda na kupata wenyeviti wengi na kuishinda ccm kutokana na ubabe wake wa kuwabuluza wajumbe wa...
Kwa Mara ya kwanza wananchi wa kata ya Muleba mjini Jimbo la Muleba kusini, wameamua kumchagua Kamanda Edwad Sijaona Mwinamira kwa kishindo amepata kura 2756 zaidi ya mpinzani wake wa karibu Hassani Milanga alie pata kura 1761kpt CUF.
Kamanda Edward Sijaona Mwinamila Jana alizindua kampeini zake kupitia chama chake cha NLD kwakishindo kutokana na hotuba yake Jana wananchi wamesema anatosha kuwa diwani wao badae nitawawekea hotuba ya kamanda huyu.
Wananchi wa kata ya muleba wamesema wanamuitaji ndugu Edwadi Sijaona Mwinamila kupitia chama cha NLD awe diwani wao kama wewe ni mwana Muleba toa maoni yako kwa kamanda huyu.
Wananchi wa muleba wamechoka kuendelea kuongozwa na diwani wa matusi na majivuno sasa niwakati wa mabadiliko kwa wananchi wa kata ya muleba tumchague kamanda sijaona mtu wa watu...
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage.
Awambia Vijana wa bodaboda wajiunge vikundi vya watu 25 kila kikundi na atawapa Pikipiki mojamoja kwa vijana wa bodaboda.
Haya ni matusi kwa vijana.
Mwijage ufungashe vilago uondoke jimboni, maana unataka kuwafanya vijana watumwa Jimbo la...
Ameenda kujiandikisha mashine zikagoma kusoma alama za vidole amezunguka vituo vyote mashine zimemkataa kilicho baki ni wananchi na wao kumkataa kwenye uchaguzi mkuu.
huyu simwingine bari ni kamanda sijaona mwinamira nimwenyekiti wa selikari ya mtaa wa bukono kata ya muleba mjini kupitia chadema mwenyekiti huyu amesimamia maendereo kwenye mtaa anao hongoza kwa kuakikisha mradi mkubwa wa ujenzi wa soko kuu la ndizi linajengwa na kukamilika kutokana na...
Kata hii imeongozwa na diwani wa CUF kwa miaka kumi na tano lakini diwani huyu hakuna alichowafanyia wananchi wa kata hii zaidi ya majigambo yake na kujiita msomi.
Mpaka leo shule ya kata ya Sekondari haijaisha tangu walipoanza michango mnamo mwaka wa 2007 mpaka leo, mbaya zaidi diwani huyu...
jimbo la muleba kusini linaitaji mbunge wa kutoka ukawa sio ccm tena wakati napitapita leo kwenye vijiwe vyakaawa nikakuta mwenyekiti wa ccm wa wilaya ya muleba ndugu muhaji akizungumza na wanywaji wa kaawa wakimuuliza maswali juu ya kutangaza nia yake ya kugombea ubunge jimbo la muleba kusini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.