Recent content by makoko jumanne

  1. M

    CONGO: Askari wa JWTZ Waanza Msako Mkali Katika msitu wa Ben, Askari Wawili wa JWTZ wauawa katika Mapigano Makali

    Poleni sana ndugu zetu mlipoteza wapendwa wenu huko Congo,nadhani si Busara kuwadhihaki wapiganaji wetu kwa kuwa wanafanya kazi kubwa kulinda nchi yetu na Wametoa maisha yao kutetea haki katika mataifa mengine, nadhani anayeponda ni muasi wa Huko ben.
  2. M

    Uchumi wa Nchi Unazidi Kudidimia, Thamani ya Shilingi Yashuka, Mfumuko wa Bei Wapanda

    Siasa zisichanganywe na masuala ya Kisayansi kwa kuwa swala la uchumi likichanganywa na siasa litatuletea matatizo,Wananchi wote washaelewa Serikali yao inataka kuwafikisha wapi, Wapate dawa HOSPITALI, ELIMU BORA, BARABARA,MAJI NA HUDUMA MUHIMU ZA KIJAMII. Hayo ndio msingi wa maendeleo ya...
  3. M

    Kila kitu bei ipo juu: Je, Rais Magufuli anapambana na umasikini au anapambana na watu masikini?

    tuache propaganda jamani,Serikali inafanya kazi kubwa yakuleta maendeleo endelevu kwa faida ya wengi,hivyo tuiunge mkono,tuache propaganda
  4. M

    Jumanne nyeusi kwa Rais Magufuli inakuja

    cha muhimu kuelewa ni kuwa uchumi wetu unakuwa kwa kasi cha mafanikio ni makubwa kuliko changamoto zinazojitokeza
  5. M

    Jeneral Ulimwengu: Huu ni utawala wa milipuko! Wafanyakazi wanafanya kazi kwa uoga

    ukweli ni kwamba uchumi wetu unaenda vizuri na miaka si mingi Tanzania itakuwa nchi ya asali na maziwa,tuache propaganda za kisiasa.
  6. M

    Kila kitu bei ipo juu: Je, Rais Magufuli anapambana na umasikini au anapambana na watu masikini?

    uchumi utazidi kuimarika mwaka hadi mwaka tusikatishwe tamaa na changamoto zinazojitokeza kwani hizi ni dalili yakujengwa kwa uchumi imara.
  7. M

    Waziri Mpango: Kasi ya ukuaji wa uchumi; Tanzania inaongoza barani Afrika

    serikali imejitahidi kuweka mazingira mazuri ya Biashara ili kuwawezesha wananchi kujikwamua kiuchumi ni jukumu letu kufanya kazi kwa bidii
  8. M

    Tamko: Ukweli uliojificha kuhusu Kitwanga kufukuzwa Uwaziri

    Mheshimiwa Charles Kiwanga ni vema ukakaa kimya badala ya kuagiza kundi la Madiwani wa Misungwi kuja Dar es salaam kukutea kwa waandishi wa habari kuwa uliwa haujalewa. Leo kundi la Madiwani likiongozwa na Baraka Kingamkono, Gaudency Tungaraza na Iddy Majumuisho limefika jijini Dar es salaam...
  9. M

    Kumbe Nape ni mstaarabu

    Nape ni kiongozi makini sana,wengi wameanza kumuelewa kuwa ni mtu makini na mchapa kazi,anaendana na falsafa ya hapa kazi tu
  10. M

    Utajiri wako uko sehemu hii moja muhimu, acha kupoteza muda huko uliko sasa

    Hongera mtoa mada,makala nzuri sanaaaaaaaa.......
  11. M

    Balaa jingine lamkumba mjumbe wa bodi TPA

    Tumpe nafasi rais afanye kazi
  12. M

    Magufuli ni binadamu, dalili za kuchoka tayari zipo wazi

    Rais apewe muda wa kufanya kazi,propaganda hazisaidii kwa kuwa muda wake ulishapita
  13. M

    Magufuli ni binadamu, dalili za kuchoka tayari zipo wazi

    Tumpe RAis muda afanye kazi,propaganda za kufuata mirengo ya Chama,hazitusaidii kwa kuwa tunachohitaji ni maendeleo na sio propaganda kwa sasa,uchaguzi umepita tufanye kazi
  14. M

    Gazeti la Mawio acheni kuweweseka na propaganda zenu hizo

    mawio yageuka gazeti la udaku,imepoteza dira
Back
Top Bottom