Huyo Mwehu Maloto alitaka Warioba ashauri mara ngapi?
Kama ushauri haupokelewi alitaka Warioba afanye Nini?
Huyo Maloto au Matonya hajui kwamba kwa Sasa Ushauri wowote unachukuliwa kama Ukosoaji?
Lissu kasema kina Maloto wakishahongwa waache kumfuata Gerezani Usiku
Humjui vizuri. Huyu ni Waziri Fisadi kuliko wote wa awamu hii.
Anafyeka pesa mpaka Mamlaka za maji nchini zinashindwa kujiendesha.
Waulize vizuri Watendaji wa mamlaka za maji ujionee vituko
Mkimsifia nyie mnaemuhonga inatosha sana.
Kwa taarifa yako hakuna anayehangaika na Msaliti wa Mageuzi! Jimboni kwake HAI wananchi walimkataa, Chadema imemkataa na Watanganyika hatutaki hata kumuona
Acha waungue tu hao punguani.
Mikopo yao imekuwa ni JANGA kubwa kwa Watanzania.
Makampuni kama PLATINUM CREDIT na BAYPORT ni mawakala wa Shetani kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.