Recent content by Makojo

  1. M

    Trump anaidhalilisha Marekani

    Kwani Wizara ya Ulinzi ina kazi gani?
  2. M

    Kinachotokea Gaza kituogopeshe Waafrika. Wamagharibi wakiamua kutuua wote ili watwae ardhi na rasilimali hawashindwi!

    Wanaondoka. So far 40% ya Gaza ipo mikononi ndani ya wiki mbili tu!! Watabaki Gaza ili wakae wapi? Kila kitu kimekuwa Levelled
  3. M

    CCM mnaposema kazi na utu mnamaanisha nini?

    Kwamba JPM alipiga kazi lakini hakuwa na UTU. Wahuni watu wabaya sana
  4. M

    GE2025 Hatua zisipochukuliwa kuna hatari siku ya uchaguzi ikawa siku ya aina yake. Watu hawatajitokeza kupiga Kura hasa maeneo ya mijini

    Halafu hakuna anayejali Hilo. Wanapepea tu kwenye Kampeni. Mimi ni CCM lakini sioni sababu ya kwenda kupiga kura Kwa sababu hayupo mpinzani ninayemhofia
  5. M

    Serikali: Tunachoweza kukipuuza, kipuuzeni, tutaepuka mengi

    Hatuna nchi nyingine Yes!! Lakini kama ilivyo Kwa Rasilimali za nchi yetu ni lazima zilindwe Kwa sababu hatuna Rasilimali zingine. Zisiuzwe tafadhali
  6. M

    Tuongee ukweli, Abdallah Ulega hastahili kuwa Waziri wa Ujenzi

    Kobaz Kwa matusi mmejaaliwa na Mola wenu
Back
Top Bottom