Recent content by Makojo

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kuibuka na kuzama kwa jahazi la Sukuma Gang kwenye medani ya siasa za Tanzania

    Umeanza vizuri ulipofafanua kuhusu Chimbuko la Nguvu ya Sukuma Gang! Bahati mbaya una ka UCHAWA Uchwara
  2. M

    JamiiForums Tanzania Paulo Chacha ana akili timamu?

    Ni mwehu
  3. M

    JamiiForums Tanzania Hivi Chadema ina idadi ya wanachama wangapi nchi nzima mpaka sasa?

    Wanne! Haya kakojoe ulale
  4. M

    JamiiForums Tanzania U'Magufuli' wa Mwigulu wawaibua Mange, Maria Sarungi na Kigogo

    Magufuli asifananishwe na huyo Muigizaji! Halafu anataka afananishwe pia na Nyerere kwa kujichongea hicho Mumstachi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Rais ni nembo Ya nchi, Tumpende na kumpa ushirikiano wa kutosha

    Rais mwenyewe hataki kusikia hiki ulichoandika. Akikujua atakushughukia ukome Kujipendekeza
  6. M

    JamiiForums Tanzania Shekh Mwaipopo amtabiria makubwa Dkt. Mwigulu Nchemba

    Kwani huyu Punguani ni nani katika Taifa hili?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Lissu ana somo la kujifunza kutoka kwa María Corina Machado wa Venezuela

    Maneno meeeengii. Unamaliza Miti tu
  8. M

    JamiiForums Tanzania Zito Zuberi Kabwe nakuita mara tatu

    Upo sahihi
  9. M

    JamiiForums Tanzania Maloto: Tanzania inahitaji 'Statesmen', si wakosoaji kama Warioba

    Huyo Mwehu Maloto alitaka Warioba ashauri mara ngapi? Kama ushauri haupokelewi alitaka Warioba afanye Nini? Huyo Maloto au Matonya hajui kwamba kwa Sasa Ushauri wowote unachukuliwa kama Ukosoaji? Lissu kasema kina Maloto wakishahongwa waache kumfuata Gerezani Usiku
  10. M

    JamiiForums Tanzania Tukiachana na CCM huyu WAZIRI WA MAJI JUMA AWESO anachapa Kazi Kwa moyo na hasubirii kusukumwa Wala kuimbiwa na MACHAWA

    Humjui vizuri. Huyu ni Waziri Fisadi kuliko wote wa awamu hii. Anafyeka pesa mpaka Mamlaka za maji nchini zinashindwa kujiendesha. Waulize vizuri Watendaji wa mamlaka za maji ujionee vituko
  11. M

    JamiiForums Tanzania Responded Rais Samia: Dar es Salaam ni kuchafu, ni aibu

    Huo ndo umeona uchafu? Mnakwama wapi nyie Wazanzibari?
  12. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA nguvu kubwa sana ya Watanzania iko nyuma yenu msijemkarudia makosa mliyofanya chini ya mwenyekiti wenu aliyepita

    Mkimsifia nyie mnaemuhonga inatosha sana. Kwa taarifa yako hakuna anayehangaika na Msaliti wa Mageuzi! Jimboni kwake HAI wananchi walimkataa, Chadema imemkataa na Watanganyika hatutaki hata kumuona
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kwanini Wazanzibar hawatekwi na kupotezwa?

    Huu Uzi leo umenisaidia kuwajua Wazanzibar walijificha nyuma ya ID Feki
  14. M

    JamiiForums Tanzania Ofisi ya Faulu microfinance Shekilango yawaka moto, yadaiwa kusababishwa na shoti ya umeme

    Acha waungue tu hao punguani. Mikopo yao imekuwa ni JANGA kubwa kwa Watanzania. Makampuni kama PLATINUM CREDIT na BAYPORT ni mawakala wa Shetani kabisa
Back
Top Bottom